Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Pongezi kubwa kwa JFWakuu, kumbe vitu vikiruka kupitia JF mambo yanaenda eeeh? Baada ya JF kurusha maji yamerejea, hapa ndio pa kuleta kero zetu Wakuu.
Tukaoge vizuri na kuosha vyombo vichafu vya siku mbili.
JF iishi milele🔥🔥🔥
Pia soma: KERO - Mbezi Beach kwa Zena hatuna maji siku ya 3 leo tatizo ni nini?
Huku nilipo tuna mwezi sasa. UbungoDAWASA leo kaenda waziri wa Maji Aweso basi kuzuga wametoa maji kwote.
DAWASA janga sana aisee. Hafu hawatoi taarifa.Huku nilipo tuna mwezi sasa. Ubungo
Hao majamaa Kama sio mapunga sidhani Asee.DAWASA leo kaenda waziri wa Maji Aweso basi kuzuga wametoa maji kwote.
Ungeandika - hatimaye maji yaanza kutoka kwa bi Zena baada ya miaka 62 ya uhuru..Wakuu, kumbe vitu vikiruka kupitia JF mambo yanaenda eeeh? Baada ya JF kurusha maji yamerejea, hapa ndio pa kuleta kero zetu Wakuu.
Tukaoge vizuri na kuosha vyombo vichafu vya siku mbili.
JF iishi milele🔥🔥🔥
Pia soma: KERO - Mbezi Beach kwa Zena hatuna maji siku ya 3 leo tatizo ni nini?
Ndio, juhudi zangu hazikufua dafu juzi wala jana, yalikuwa mapuuzo tu utafikiri tunapewa bure hayo majiUnaamini malalamiko ya Jf ndiyo yamerudisha maji?
Huwa yanatoka, ila huwa kuna ka namna wanafanya, lazima yakate kama wiki hivi kila baada ya mwezi au miezi miwiliUngeandika - hatimaye maji yaanza kutoka kwa bi zena baada ya miaka 62 ya uhuru..
Hongereni.Wakuu, kumbe vitu vikiruka kupitia JF mambo yanaenda eeeh? Baada ya JF kurusha maji yamerejea, hapa ndio pa kuleta kero zetu Wakuu.
Tukaoge vizuri na kuosha vyombo vichafu vya siku mbili.
JF iishi milele🔥🔥🔥
Pia soma: KERO - Mbezi Beach kwa Zena hatuna maji siku ya 3 leo tatizo ni nini?
Idumu daima dawamuJF oyeeeeeeeee
Nadhani waliwapa tuzo ya ushiriki jukwaani. Active Institution jukwaani ila kwenye huduma HAKUNA KITUDAWASA janga sana aisee. Hafu hawatoi taarifa.
Nashangaa sana juzi JamiiForums waliwapa tuzo ya huduma bora.
Mbona account haipo active.Nadhani waliwapa tuzo ya ushiriki jukwaani. Active Institution jukwaani ila kwenye huduma HAKUNA KITU
Kimara wanatoa wakijisikia hawa jamaa ni jeuri kweli kweli.Hongereni.
Huku Kimara inakimbilia wiki ya tatu sasa bilabila. Naona huduma ya maji upande huu imekuwa ni biashara ya watu fulani na siyo huduma tena kama Serikali inavyopaswa kutekeleza wajibu wake.