Bosi siyo hivyo ila naona wajuba wananichokoza hawa ma chasaka. As long as team chama mfu chadema wataendelea kumdhihaki Dkt Magufuli hata ktk umauti wake tuna deal nao, he was a figure head, na hichi ni kisasi cha kizazi chote cha chama mfu chini ya mbowe, we will never get tired kumtetea na kumsemea yaliyo mema Dkt Magufuli. Ila siku wakibadilika na kutambua Dkt Magufuli anahitaji heshima basi we will do the same kwa viongozi wao, otherwise, ni kisasi kisasi na Mungu wetu mkuu uzuri yupo upande wetu.Mujane acha makasiriko
Pipa bado ana kesiMuliro kila akikumbuka Kingai alivyotolewa fistula na maswali Kibatala akaona bora akubali yaishe.
Apelekwe mahakamani ndiyo ilikuwa hoja ya KibatalaPipa bado ana kesi
Kazi kwelikweliWawili hao wamewekwa mahabusu kwa masaa zaidi ya 40 kwa kosa linalodaiwa kuwa Uchochezi na kuzua Taharuki .
Walikamatwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya RPC Muliro ambaye ndiye mlalamikaji Mkuu , bado haijafahamika siku ambayo watafikishwa Mahakamani
View attachment 2975318
Furushi la mcheleIla Bonny kanona aisee.
Lazima kesi imfunge huyu pipa maana alikurupukaApelekwe mahakamani ndiyo ilikuwa hoja ya Kibatala
Hapana tumembatiza sisi wananzengo anaitwa pipaFurushi la mchele
Hakuna kesi hapo. Polisi ndiyo wamemuua huyo ndugu yake Bony.Lazima kesi imfunge huyu pipa maana alikurupuka
chuma JPM ndo aliutoa huo utaratibu wa kutopata dhamani weekendAisee pole yao, huku mtaani huwa tunaambiana kuwa weekend huwezi kupata dhamana yaani ukiingia ijumaa polisi utatoka jumatatu, kumbe sio kweli.
Wawili hao wamewekwa mahabusu kwa masaa zaidi ya 40 kwa kosa linalodaiwa kuwa Uchochezi na kuzua Taharuki .
Walikamatwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya RPC Muliro ambaye ndiye mlalamikaji Mkuu , bado haijafahamika siku ambayo watafikishwa Mahakamani
View attachment 2975318
Alifanya jambo la maana sana.chuma JPM ndo aliutoa huo utaratibu wa kutopata dhamani weekend
Figo yako na gaidi lenu mbowe, tena lisubiri tu kukamatwa gaidi kabisa liujaji dikiteta hakitaki kuachia uenyekiti, jizi, fisadi, lihuni litoboa masikio, linafanya akina adamu, yaani watanzania tunalichukia sana tena sana na kama lilivyoshangilia kifo cha Dkt Magufuli siku likifa lenyewe mbwa watafurahia na kufanya sherehe ya msururu wa dume jike hahaha
Hahaha pipa kanyea debe. Na bado akomeshwe kabisa muhuni. Bado yule jambazi na jizi mbowe, 2024 lazima tufufue kesi ya ugaidi ahukumiwe kunyongwa hadi kufa kabisa afe
Kikubwa watulize makalio, siyo kila taarifa unayoikota unairusha mtandaoni. Maana Boniyai kutwa nzima kupost udaku kama Mange Kimambi
Kwahiyo sahivi baada ya kukamatwa wamebadili ile kauli yao kuwa polisi ndo walimuua Babu G? Kwanini wasiendelee na msimamo uleule na kuthibitisha kuwa polisi ndo wamehusika ili wahalifu wachukuliwe hatau
View: https://m.youtube.com/watch?v=L_qrkn_TRrg
Akiongea mbele ya kituo kikuu cha Polisi Kati Central Police Dar es Salaam na kutakiwa kuripoti jumatatu kwa mahojiano zaidi.
Meya mstaafu Jacob Boniface ameongeza kuwa vifaa kama simu na kompyuta mpakato vinashikiliwa na jeshi la polisi
Waache mara moja uzushi,kila lakheri tupambane kwa hoja.
Hayawani nyamaza, tuna agenda yetu 2025. Huyo kengeza wako gaidi anasubiriwa kesi ianze gaidi mkubwa sana tena lazima ahukumiwe kifo kabla ya 2025
Bams ka ndiyo hivyo basi viongozi waandamizi wa chama mfu chadema watakufa wote kabla y 2025 kwa sababu walimuombea Dkt Magufuli afe na wakafanya sherehe baada ya kufa maana yake wamelaaniwa hahaha. Mimi nimesema mbowe atahukumiwa kifo kwa sababh ni gaidiUnayeombea wengine kufa, ujue umejitengenezea laana. Utawatangulia.