Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni malengo gani ambayo yamefikiwa ndg? Mbona taleban bado wana nguvu kama awali?Imeshindwa vipi kubaki Afghanistan? Kwani haujamsikia Blinken amesema wamefikia malengo waliyokuwa wameyaweka? Au unamaanisha nini kusema "washindwa kubaki"?
Nguvu gani??Ni malengo gani ambayo yamefikiwa ndg? Mbona taleban bado wana nguvu kama awali?
taleban hawana nguvu sana kama zamani, ila bado wapo. Urusi ilikimbia Afghanstan baada ya muda mfupi sana lakini Marekani amehimri miaka 20; minataka aendelee miaka 20 tena? Hashindwi kufanya hivyo kwani Afghanistan ni training ground nzuri sana ya jeshi la ardhini (Army) ya MarekaniNi malengo gani ambayo yamefikiwa ndg? Mbona taleban bado wana nguvu kama awali?
Hii ndiyo nguvu ya Taliban.nchi ipo kama chujiyo kwa jinsi ilivyoNguvu gani??
YaaWamechoka kila siku kurejesha maiti marekani zikiwa zimesagwa kwenye mifuko ya plastic kama nyama, familia zao zinapiga kelele sana
Wameshindwa kuhimili vitisho vya Taliban na anguko la kiuchumi.Kwani hujasikia Taliban wanavyowafokea.Imeshindwa vipi kubaki Afghanistan? Kwani haujamsikia Blinken amesema wamefikia malengo waliyokuwa wameyaweka? Au unamaanisha nini kusema "washindwa kubaki"?
Washeshindwa vibaya sababu lengo lilikuwa kuwafuta wanamgambo wa Taliban kitu ambacho kimewashindaImeshindwa vipi kubaki Afghanistan? Kwani haujamsikia Blinken amesema wamefikia malengo waliyokuwa wameyaweka? Au unamaanisha nini kusema "washindwa kubaki"?
Urusi inalipiza kisasi. Siku zile Marekani waliwapa Taliban silaha wawaondoe Urusi na kweli waliwaondoa na hatimae Urusi kusambaratika moja kwa moja mpaka alipokuja Putin. Sasa Urusi inafanya kama vile.Sijui hatima ya Marekani itakuwaje.Watalebani wanapewa siraha na Iran pamoja na Urusi marekana wamenyosha mikono wameamua kukimbia baada ya kuamriwa na watalebani kuwa waondoke ,walienda kuwasambaratisha wanamgambo wa Talebani lakini wameahindwa wanaamua kuondoka
Baada kuleta hasara kubwa ya maisha ya watu na kuharibu mali kwa miaka takriban 10,Hatimae Marekani imeamua kuondoka nchini Afghanistan ikiwa ni sharti muhimu katika makubaliano yake na wanamgambo wa Taliban.
Sa si ndo kashindwa mzee au hio miaka 20 alikua anafanya nini ssa kama anaondoka hajatimiza lengotaleban hawana nguvu sana kama zamani, ila bado wapo. Urusi ilikimbia Afghanstan baada ya muda mfupi sana lakini Marekani amehimri miaka 20; minataka aendelee miaka 20 tena? Hashindwi kufanya hivyo kwani Afghanistan ni training ground nzuri sana ya jeshi la ardhini (Army) ya Marekani
Umeongea vyema. Hawana nguvu Kama zamani lakini wataleban wanatawala kibabe eneo kubwa Sana la Afghanistan I na US wamefeli kuwaondoa..Sa si ndo kashindwa mzee au hio miaka 20 alikua anafanya nini ssa kama anaondoka hajatimiza lengo
Umeongea vyema. Hawana nguvu Kama zamani lakini wataleban wanatawala kibabe eneo kubwa Sana la Afghanistan I na US wamefeli kuwaondoa..
Marekani wamefanikiwa tu kuwatoa mjini Kabul walipokua wametengeneza serikali yao mwaka 2002...
Sidhani kama Ni kweli kwamba wataleban wanapewa silaha na Iran .. but Iran inawataja wataleban Kama Magaidi.. pia kuthibitisha hili Iran Wana kundi kinzani dhidi ya wataleban huko Afghanistan. Kikundi hicho Cha militia men Cha kishia huitwa "Fatmiyoun"Urusi inalipiza kisasi. Siku zile Marekani waliwapa Taliban silaha wawaondoe Urusi na kweli waliwaondoa na hatimae Urusi kusambaratika moja kwa moja mpaka alipokuja Putin. Sasa Urusi inafanya kama vile.Sijui hatima ya Marekani itakuwaje.
Itabidi wakubali then wakitoka hapo wakasome vyema kuhusu watu wa Afghanistan Ni watu wa namna gani?Yani kuna watu ni haiwaingii akilini kua US kafail..sijui kwa nini au hawahisi kama hata yeye anaweza fail