Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Hujui kuwa lengo lao kwenda huko ilikuwa ni kuvunja network ya Al-Qaida, hawakwenda kutawala. Je leo hii umeshamsikia Bin laden au Ayman Al_Zawahir tena, au hata tamko tu lolote lile la Al-Qaeda?Sa si ndo kashindwa mzee au hio miaka 20 alikua anafanya nini ssa kama anaondoka hajatimiza lengo