Hatimaye Marekani yaweka wazi: Lengo la Marekani ni kuidhoofisha Urusi kwa kutumia damu ya waukraine

Hatimaye Marekani yaweka wazi: Lengo la Marekani ni kuidhoofisha Urusi kwa kutumia damu ya waukraine

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Japo watu wengi walikuwa wanafahamu kuwa lengo la Urusi tangu mwanzo ilikuwa ni kuidhoofisha Urusi kiuchumi na kijeshi Walikuwa wanafanya kama siri fulani. Kwa sasa wanasema kwa wazi lengo hilo, kama mkuu wa majeshi ya marekani alivyokiri hilo lengo. Ila hawakuwa tayari kuingia wao binafsi katika vita na urusi ya ana kwa ana.

Lakini wakaichochea Ukraine ili ing'ang'anie kuomba kujiunga na NATO na wao Marekani wakasema watayakubali kwa haraka maombi ya Ukraine kujiunga na NATO. Marekani walikuwa wanajua kuwa suala la Ukraine kujiunga NATO ni mstari mwekundu kwa Urusi. Kwa hiyo walikuwa na uhakika kuwa LAZIMA URUSI ITAIVAMIA UKRAINE.

Walipoona Ukraine inakusanya majeshi wakajua kwa uhakika kuwa ukraine itavamiwa kwa hiyo WAKAFURAHI sana kuwa wamefanikiwa kuiingiza mkenge Ukraine ili ivamiwe na Urusi.

Kimsingi Marekani na washirika wake wa NATO ndio wako vitani na Urusi kwa kutumia DAMU ya Wa-ukraine kama askari wao wa kukodiwa katika vita hii. Inafahamika kuwa ukiwa na askari wa kukodiwa wewe ndio unawajibika kuwagharimia kila kitu wawapo vitani. Ndio maana nchi za magharibi HAZIONI TAABU kuwapatia ukraine silaha na pesa za kujikimu kipindi hiki cha vita.

Wasichotaka kusikia ni mapatano ya amani kabla lengo lao la kuidhoofisha Urusi kijeshi na kiuchumi halijafanikiwa. Wanatumia vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000 kuidhoofisha kiuchumi na wanataka vita idumu kwa muda mrefu ili kuidhoofisha urusi kijeshi na kiuchumi. Kinachowakera mabeberu wa magharibi ni kuona uchumi wa urusi haujateteleka kama walivyotarajia.

Nchi za magharibi wanaamini kuwa kwa kuwapatia silaha kali wa-ukraine kila wakati, zikiharibiwa wanapeleka zingine, zikiharibiwa wanapeleka zingine na mwisho wa siku wanaamini urusi ataishiwa silaha zake zinazoharibu misaada yao kisha watafanikiwa malengo yao. Ngoja tuone je watafanikiwa? Ila mpaka sasa inaonekana bado wanatwanga maji kwenye kinu.

Leo pesa ya urusi ruble imepanda thamani kufikia kiwango cha miaka miwili iliyopita! Na kwenye uwanja wa vita imeshambulia reli na vituo vya reli vingi vinavyotumika kuingizia silaha nzito na imeshambulia vituo vya kijeshi vinavyohifadhi silaha hizo. Hii ni nukuu ya mkuu wa majeshi ya marekani iliyonukuliwa na chombo cha habari cha marekani CNN:

Top US general: We want to see a free Ukraine and a "weakened Russia"​

US Chairman of the Joint Chiefs Gen. Mark Milley told CNN that the policy of governments supporting Ukraine is to see the embattled country free and independent and a "weakened Russia."

"At the end of the day, what we want to see, what I think the policy of all of the governments together is a free and independent Ukraine, with the territory intact and their government standing," he said. "I think that's going to involve a weakened Russia."

He added that the unity among western countries is key.

"The unity of the West and the unity of NATO, and indeed, the unity of the globe has probably never been stronger than it is in the face of this unprovoked aggression. That's where we're heading."
 

Western supply lines in Ukraine destroyed – Russia​

Russia claims it has struck six railway hubs in the West of the country
Western supply lines in Ukraine destroyed – Russia

FILE PHOTO: Russian forces launch an Iskander tactical missile during a military campaign in Ukraine, 2022. © Sputnik
Russian troops have destroyed six traction substations, – units that power the railways – which are being used for delivery of “foreign weapons and military hardware to the Ukrainian forces in the Donbass,” Defense Ministry spokesman Major General Igor Konashenkov announced on Monday.
He added that the stations were located at the Krasnoye, Zdolbunov, Zhmerinka, Berdichev, Kovel, and Korosten railway hubs, all in western Ukraine.
According to Konashenkov, 27 military targets were also destroyed by airstrikes, including four command centers.
 

Western supply lines in Ukraine destroyed – Russia​

Russia claims it has struck six railway hubs in the West of the country
Western supply lines in Ukraine destroyed – Russia

FILE PHOTO: Russian forces launch an Iskander tactical missile during a military campaign in Ukraine, 2022. © Sputnik
Russian troops have destroyed six traction substations, – units that power the railways – which are being used for delivery of “foreign weapons and military hardware to the Ukrainian forces in the Donbass,” Defense Ministry spokesman Major General Igor Konashenkov announced on Monday.
He added that the stations were located at the Krasnoye, Zdolbunov, Zhmerinka, Berdichev, Kovel, and Korosten railway hubs, all in western Ukraine.
According to Konashenkov, 27 military targets were also destroyed by airstrikes, including four command centers.

Dunia inasubiri kuona hii vita (proxy war) kati ya NATO ikiongozwa na Marekani dhidi ya Urusi kwa kutumia DAMU ya wa-ukraine itaishia wapi!!
Inasikitisha kuona kuwa wanaicheza ngoma inayopigwa na marekani kwa gharama ya maisha na damu ya wananchi wa ukraine!! Namshauri rais Zelensky wa ukraine awaambie NATO msiishie kutupa silaha tu vinginevyo na silaha zenu bakini nazo!, bali walete na wanajeshi wao wapigane sambamba!! Akiwaambia hivyo vita itaishaisha!! Maana atakubali kuzungumza amani na urusi!!
 

US will move ‘heaven and earth’ to back Ukraine – Pentagon​

The defense Secretary pledges to do whatever is necessary to give Kiev what it wants
US will move ‘heaven and earth’ to back Ukraine – Pentagon

© AFP / Andre Pain
The US will move “heaven and earth” to supply Ukraine with what it says it needs to fight Russia, Defense Secretary Lloyd Austin said. The announcement came on Tuesday at a 40-country meeting aimed at getting Washington’s allies on board the mission to prop up Kiev’s defenses.

Hii ni vita kamili kati ya NATO ikiongozwa na Marekani dhidi ya URUSI ikiwa peke yake. Marekani wanatumia mikono na damu ya wa-ukraine wakati Urusi inatumia damu na watu wake!! Hakuna aliye tayari kushindwa labda mpaka damu ya watu wa ukraine iishe yote! Marekani haiko tayari hata damu ya askari au raia wake imwagike!! Lakini haioni shida damu ya watu wote wa Ukraine imwagike!! Hizo ndiyo HAKI ZA BINADAMU zinazohubiriwa na marekani!
 
We jamaa wameuliwa watoto wake na wazee huko Ukraine unajua??
Hata hazard ya vita kuvuka mipaka hujui.
Mrusi atapigwa tu vyovyote vile.
.mi nishaziona torpedo zao na submarine mara kadhaa.
Walikua threat Europe yote.
Vita ya Ukraine sababu tu ila hao watu walikua siku nyingi sana wanamtafuta putin.
Kafika mahali pake
 
... dunia ya leo haihitaji madikteta! Dictatorship Removal Plan; #1 - Putin; #2 - Maduro; #3 - Xi; #4 - Kim.
 
We jamaa wameuliwa watoto wake na wazee huko Ukraine unajua??
Hata hazard ya vita kuvuka mipaka hujui.
Mrusi atapigwa tu vyovyote vile.
.mi nishaziona torpedo zao na submarine mara kadhaa.
Walikua threat Europe yote.
Vita ya Ukraine sababu tu ila hao watu walikua siku nyingi sana wanamtafuta putin.
Kafika mahali pake
Kama NATO walikuwa wanamtafuta sawa ila wasitumie damu ya watu wa ukraine, wajitose wao uwanja wa vita wauone utamu wake kama ni utamu!!
 
Japo watu wengi walikuwa wanafahamu kuwa lengo la Urusi tangu mwanzo ilikuwa ni kuidhoofisha Urusi kiuchumi na kijeshi Walikuwa wanafanya kama siri fulani. Kwa sasa wanasema kwa wazi lengo hilo, kama mkuu wa majeshi ya marekani alivyokiri hilo lengo. Ila hawakuwa tayari kuingia wao binafsi katika vita na urusi ya ana kwa ana.

Lakini wakaichochea Ukraine ili ing'ang'anie kuomba kujiunga na NATO na wao Marekani wakasema watayakubali kwa haraka maombi ya Ukraine kujiunga na NATO. Marekani walikuwa wanajua kuwa suala la Ukraine kujiunga NATO ni mstari mwekundu kwa Urusi. Kwa hiyo walikuwa na uhakika kuwa LAZIMA URUSI ITAIVAMIA UKRAINE.

Walipoona Ukraine inakusanya majeshi wakajua kwa uhakika kuwa ukraine itavamiwa kwa hiyo WAKAFURAHI sana kuwa wamefanikiwa kuiingiza mkenge Ukraine ili ivamiwe na Urusi.

Kimsingi Marekani na washirika wake wa NATO ndio wako vitani na Urusi kwa kutumia DAMU ya Wa-ukraine kama askari wao wa kukodiwa katika vita hii. Inafahamika kuwa ukiwa na askari wa kukodiwa wewe ndio unawajibika kuwagharimia kila kitu wawapo vitani. Ndio maana nchi za magharibi HAZIONI TAABU kuwapatia ukraine silaha na pesa za kujikimu kipindi hiki cha vita.

Wasichotaka kusikia ni mapatano ya amani kabla lengo lao la kuidhoofisha Urusi kijeshi na kiuchumi halijafanikiwa. Wanatumia vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000 kuidhoofisha kiuchumi na wanataka vita idumu kwa muda mrefu ili kuidhoofisha urusi kijeshi na kiuchumi. Kinachowakera mabeberu wa magharibi ni kuona uchumi wa urusi haujateteleka kama walivyotarajia.

Nchi za magharibi wanaamini kuwa kwa kuwapatia silaha kali wa-ukraine kila wakati, zikiharibiwa wanapeleka zingine, zikiharibiwa wanapeleka zingine na mwisho wa siku wanaamini urusi ataishiwa silaha zake zinazoharibu misaada yao kisha watafanikiwa malengo yao. Ngoja tuone je watafanikiwa? Ila mpaka sasa inaonekana bado wanatwanga maji kwenye kinu.

Leo pesa ya urusi ruble imepanda thamani kufikia kiwango cha miaka miwili iliyopita! Na kwenye uwanja wa vita imeshambulia reli na vituo vya reli vingi vinavyotumika kuingizia silaha nzito na imeshambulia vituo vya kijeshi vinavyohifadhi silaha hizo. Hii ni nukuu ya mkuu wa majeshi ya marekani iliyonukuliwa na chombo cha habari cha marekani CNN:

Top US general: We want to see a free Ukraine and a "weakened Russia"​

US Chairman of the Joint Chiefs Gen. Mark Milley told CNN that the policy of governments supporting Ukraine is to see the embattled country free and independent and a "weakened Russia."

"At the end of the day, what we want to see, what I think the policy of all of the governments together is a free and independent Ukraine, with the territory intact and their government standing," he said. "I think that's going to involve a weakened Russia."

He added that the unity among western countries is key.

"The unity of the West and the unity of NATO, and indeed, the unity of the globe has probably never been stronger than it is in the face of this unprovoked aggression. That's where we're heading."
Vita umeanzisha wewe, halafu unalialia. Pambana na hali yako.
 
Kama NATO walikuwa wanamtafuta sawa ila wasitumie damu ya watu wa ukraine, wajitose wao uwanja wa vita wauone utamu wake kama ni utamu!!
Lengo la Putin ni kulidhoofisha kijeshi taifa la 🇺🇦🇺🇦, Sasa analalamika nini ?. Yeye aendelee kufanya kilichompeleka huko .
Yaani mtu unaivamia na kutangaza mchana kweupe kuwa unafanya demilitarization kwenye taifa la mwenzio harafu hutaki asaidiwe !!?.
 
Back
Top Bottom