Hatimaye Masanja Mkandamizaji amvika pete mchumba wake

Huyu jamaa huwa namkubali sana linapokuja swala la kuwa responsible na maisha yake. Kwa hili kaongeza credit and natumai ataonyesha mfano kwa vijana wa kisasa.
 
Haya maneno ni somo kwangu.
 
Nani huyo?kohoa umbea huo tuusikie...Ukikaa nao kooni utapaliwa au kupata saratani ya koo!!Umbea raha yake uuteme,ni tiba kwa magonjwa nyemelezi ya kinywa na koo
Tema Mkuu tema huo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duhuu we hatariii
 
Mbona mchumba anaangalia na concentration kubwa kwenye alipofungiwa simba jeuri?
 
mbona mke bomba. macho mazuri, kaumbo adimu, rangi adimu. Mungu akupe nini? giggy mahela?
 
Hayawi hayawi Mwisho yamekuwa kwa mkandamizaji.
Hatimaye Mchungaji kachumbia mwanamke wa nguvu kabila la kisukuma.
Tunaisubiri kwa hamu siku ya ndoa yako mchungaji, ww ni mfano wetu wa kuigwa.
ila nina Swali la kizushi kwa mchungaji wangu masanja!

Je, Bibilia inasemaje kuhusu kukandamizana kabla ya ndoa? ....mwanawane umejipangaje siku ukiibiwa kifaa hiki Hhahahahahahahahah TUTAKUJA MWANAWANE.
 
Masanja nakushauri tu kuwa sumu ya safari yenu ya kuoana ni kugegedana kabla ya ndoa...kama umekipita hicho kizuizi basi hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…