The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Citi golf hapo huniambii kitu, huyu ni mchumba wakijerumani, kwenye series ya mk nimependa hii series ya mk4 ijapokuwa mk 7 na mk 8 zimetulia, sema hizi gari kwa South Africa mk 7 na mk8 ni risk sana kumiliki hata uwe na bastola wajanja wanaondoka na hii gari. Ndio gari zinazoongoza kuibiwaMkuu Golf baby walker ππ Vitamu sana ivo. MK ngapi maana wana generations zao wanaziname MK sahivi nadhani wapo MK8
Min SUVTrend [emoji409] tu imeitembelea. Kama ambavyo Vanguard ilitembelewa, Dualis, etc. Ila ni SUV nzuri kwa kuiangalia.
HahaaaHio CX-5 nayo ni SUV?
Ile si kama Spacio tu?Min SUV
Carina ni Kwa ajili ya kazi ndio maana watu wengi wana recommend.Kuna kipindi JF ukisema nataka kununua gari kila mtu anakuambia Carina Ti
hahahaKuna kipindi JF ukisema nataka kununua gari kila mtu anakuambia Carina Ti
Mapenzi ya Watanzania kwa SUV pendwa Mazda CX-5 yanazidi kujionesha kwa Mtandao maarufu wa kuingiza Magari kutoka Japan kuiweka katika magari 10 yanayoingizwa sana Tanzania na kushika namba 4.
Wapandishe mara ngapi? Sahivi. 2012 na 13 Ushuru Mil 14. Ngoja tuone.
Uwa wananifurahisha kwenye IST. Walikataa kushusha. Sema nn, unavotafuta gari tafuta below 8 years mfano tafuta la kuanzia 2016 utakua na advantage ya $0 ya uchakavu, ingawa nayo ni hit n miss.Watapandisha tena, huwa hawapoi wale...
iyo ndo roho mbaya ya mkoloni mweusiWatapandisha tena, huwa hawapoi wale...