Mazda za SA hazina huo mfumo wa DPF na sio sumbufu na sio mazda tu gari zao nyingi hata Subaru ya SA ipo tofauti na Japan kwa usumbufu ingawaje parts zinaweza kuingiliana...
Pia hizo Mazda CX -5 hata SA zilikua kwenye demand kubwa sana miaka miwili iliyopita na CX -3 na kabla ya hiyo ilikuwepo Hyundai Tucsson...
Mimi SA naangalia mwaka tu na mileage ili nipate gari ambayo haijatumika sana na niweze kulipa kodi Tanzania kama haina uchakavu wa muda mrefu wao gari za 2004,2005,2006 na miaka ya nyuma zaidi nyingi zikipata ajali hata kama sio mbaya sana wanaziweka kwenye code 3 kwa maana ukiinunua ukairekebisha hutakiwi kuuza ila code 2 ndio unaweza kununua na kuuza wakati Tanzania mtu anaagiza gari imempita Umri au yupo nayo sawa hiyo lazima isumbue sasa gari ya mwaka 2000 labda uagize tractor ndio itakua sawa sio SUV...