HATIMAYE: Mazda CX-5 imeingia Top 5 ya gari zinazoingizwa Tanzania kutoka Japan

HATIMAYE: Mazda CX-5 imeingia Top 5 ya gari zinazoingizwa Tanzania kutoka Japan

Okay......nitakuja mzee......wacha nikupe hint mzee ukipata kununua gari epuka kutumia madalali mtafute mmliki personally.......mwaka Jana nmenunua ist Kwa 6M.......wakati ukiingia kwenye mitandao ya madalali bei ya ist inakwenda mpaka 13m
Ni kweli ila bei ya hizi gari imekaza sana. Especially ambazo zipo vema. Hapa dawa ni kuchukua South Africa tu hapo unakuja unaendesha mwenyewe kutoka huko. Nyingi za South Africa milage yake ipo chini ya kilometers 10,000 sasa south Africa hadi hapa ni around 3000 kms top. Why isiwe raha.
 
Ni kweli ila bei ya hizi gari imekaza sana. Especially ambazo zipo vema. Hapa dawa ni kuchukua South Africa tu hapo unakuja unaendesha mwenyewe kutoka huko. Nyingi za South Africa milage yake ipo chini ya kilometers 10,000 sasa south Africa hadi hapa ni around 3000 kms top. Why isiwe raha.
South wahuni hawawezi kukuuzia then wakakupora? Au ukapigwa shaba? Naskia usalama ni mdogo sana huko na matapeli kibao?
 
Ni kweli ila bei ya hizi gari imekaza sana. Especially ambazo zipo vema. Hapa dawa ni kuchukua South Africa tu hapo unakuja unaendesha mwenyewe kutoka huko. Nyingi za South Africa milage yake ipo chini ya kilometers 10,000 sasa south Africa hadi hapa ni around 3000 kms top. Why isiwe raha.
Kuna website yoyote ya kufanya purchase gari za SA?
 
South wahuni hawawezi kukuuzia then wakakupora? Au ukapigwa shaba? Naskia usalama ni mdogo sana huko na matapeli kibao?
Kama unakwenda kununua gari za wapiga madili za uchochoroni tegemea kupatwa na misala na mabalaa yasiyo na kichwa wala miguu. Ni kama hapa Tanzania umfuate teja akuuzie simu uchochoroni saa nne za usiku au chini ya daraja pale ubungo songas.

Wapo wauzaji legit na wenye leseni zao hao ndio unakwenda kuwaona na kufanya nao taratibu zote. Baada ya hapo unakamilisha vibali na documents zote unaanza safari kuelekea Tanzania. Ukifika mipakani uwe na nyaraka muhimu zote tu ili usisumbuliwe na askari wa mipakani.
 
Kodi yake sio kubwa nadhani wiki mbili zijazo itakuja moja ntaona imefika kwa bei gani ya kuanzia 2014 kuja mbele...
Isanga Family nataka kujua yafuatayo;
1. Je, Mazda wana assembly plant ya magari yao hapo SA?
2. Kama swali No 1 ni kweli, tunajua Toyota kama Hilux, Prado, Fortuner etc zinazotoka SA asilimia kubwa zinakuwa hazina mfumo wa DPF na issue nyingine sumbufu kama hizo, kwamba zimetengenezwa kuakisi mazingira yetu. Je, Mazda CX-5 zinazotoka SA pia hazina DPF kama zinazotoka Japan na Europe ambazo nyingi zipo rated EURO 6 na zinakuwa na strictly environmental compliance kiasi cha kuwa na shida sana pindi zifikapo huku kwetu?
Napenda kusikia toka kwako juu ya issue hii.
 
Isanga Family nataka kujua yafuatayo;
1. Je, Mazda wana assembly plant ya magari yao hapo SA?
2. Kama swali No 1 ni kweli, tunajua Toyota kama Hilux, Prado, Fortuner etc zinazotoka SA asilimia kubwa zinakuwa hazina mfumo wa DPF na issue nyingine sumbufu kama hizo, kwamba zimetengenezwa kuakisi mazingira yetu. Je, Mazda CX-5 zinazotoka SA pia hazina DPF kama zinazotoka Japan na Europe ambazo nyingi zipo rated EURO 6 na zinakuwa na strictly environmental compliance kiasi cha kuwa na shida sana pindi zifikapo huku kwetu?
Napenda kusikia toka kwako juu ya issue hii.
Mazda za SA hazina huo mfumo wa DPF na sio sumbufu na sio mazda tu gari zao nyingi hata Subaru ya SA ipo tofauti na Japan kwa usumbufu ingawaje parts zinaweza kuingiliana...
Pia hizo Mazda CX -5 hata SA zilikua kwenye demand kubwa sana miaka miwili iliyopita na CX -3 na kabla ya hiyo ilikuwepo Hyundai Tucsson...
Mimi SA naangalia mwaka tu na mileage ili nipate gari ambayo haijatumika sana na niweze kulipa kodi Tanzania kama haina uchakavu wa muda mrefu wao gari za 2004,2005,2006 na miaka ya nyuma zaidi nyingi zikipata ajali hata kama sio mbaya sana wanaziweka kwenye code 3 kwa maana ukiinunua ukairekebisha hutakiwi kuuza ila code 2 ndio unaweza kununua na kuuza wakati Tanzania mtu anaagiza gari imempita Umri au yupo nayo sawa hiyo lazima isumbue sasa gari ya mwaka 2000 labda uagize tractor ndio itakua sawa sio SUV...
 
Isanga Family nataka kujua yafuatayo;
1. Je, Mazda wana assembly plant ya magari yao hapo SA?
2. Kama swali No 1 ni kweli, tunajua Toyota kama Hilux, Prado, Fortuner etc zinazotoka SA asilimia kubwa zinakuwa hazina mfumo wa DPF na issue nyingine sumbufu kama hizo, kwamba zimetengenezwa kuakisi mazingira yetu. Je, Mazda CX-5 zinazotoka SA pia hazina DPF kama zinazotoka Japan na Europe ambazo nyingi zipo rated EURO 6 na zinakuwa na strictly environmental compliance kiasi cha kuwa na shida sana pindi zifikapo huku kwetu?
Napenda kusikia toka kwako juu ya issue hii.
Gari nyingi ukisikia inatoka SA wametengeneza wenyewe wana matoleo tofauti ya Toyota ambayo Tanzania hatuna kabisaa na kwao yanafanya vizuri au majina hayo hayo ila muundo wa gari upo tofauti kidogo..
 
Ila raha sana. Unakuja unatambaa nayo mwenyewe gari yako unaifurahia utamu wake kabisa. Yaani hadi ukifika nayo bongo tayari unakuwa umeshablend nayo na kuizoea.

Ni kilometers 2000+ tu kutoka huko hadi tanzania ni kama kwenda mwanza na kugeuza.
Sio Kilometers 2000 mkuu cheki vizuri ila ni Safari isiyochosha maana upande wa Zambia nao wamerekebisha bara bara zao na wao maeneo ya miji ni 65km/h na huko kwingine ni 80km/h na 120km/h Tochi hawajifichi maporini unaona kabisaa ukizidisha unapigwa Tochi na Safari ya kurudu haina usumbufu kabisaa...
 
Sio Kilometers 2000 mkuu cheki vizuri ila ni Safari isiyochosha maana upande wa Zambia nao wamerekebisha bara bara zao na wao maeneo ya miji ni 65km/h na huko kwingine ni 80km/h na 120km/h Tochi hawajifichi maporini unaona kabisaa ukizidisha unapigwa Tochi na Safari ya kurudu haina usumbufu kabisaa...
Ni around km 2400+ ni kipande ingawa inategemea umepita boda gani.
 
Ni around km 2400+ ni kipande ingawa inategemea umepita boda gani.
Nimepita boda zote bado upo chini mkuu..
Jhb mpaka Gaborone 365.24Km,
Gaborone mpaka Kazungura 925.3km
Kazungula mpaka Lusaka 540.1km
Lusaka mpaka Nakonde/Tunduma 1018.5km..
 
Okay......nitakuja mzee......wacha nikupe hint mzee ukipata kununua gari epuka kutumia madalali mtafute mmliki personally.......mwaka Jana nmenunua ist Kwa 6M.......wakati ukiingia kwenye mitandao ya madalali bei ya ist inakwenda mpaka 13m
Tatizo kuwajua wenye magari wenyewe madalali wanaumiza sana mzee
 
Back
Top Bottom