Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Acha fikra zako hizo, Samatta ana mwanamke na Watoto wawili juu. Ndiyo maana humwoni kuhangaika na mabinti, hata picha moja ya kupiga nao inayoweza kuwa ushahidi ukiambiwa uilete. Hutakuwa nayo.
Jamaa ndiyo maana Mwanamke wake kamuweka mbali na media, hizi nongwa zenu wangetengana siku nyingi
Yaani Monalisa kupigwa picha uwanjani, akaipost ushaleta tafsiri yako
Jamaa ndiyo maana Mwanamke wake kamuweka mbali na media, hizi nongwa zenu wangetengana siku nyingi
Yaani Monalisa kupigwa picha uwanjani, akaipost ushaleta tafsiri yako