Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
DuhMshkaji kafanya nn kwani? Ku post huyo Bi mdangala ndiyo imekuwa nogwa? Wanaume acheni ngubu bhana, sa mlitaka apige nyeto au????????
Acha uduanzi we ushawahi kumsupport?au unaleta uchawi tu?Ana kiburi ehh juzi alisema hakuwai pata support ya mtu yeyote ni kipaji chake tu
Ndo ukweli Mkuu kafight mwenyewe hadi kufikia hapo, wabongo wangapi wanachemka?Ana kiburi ehh juzi alisema hakuwai pata support ya mtu yeyote ni kipaji chake tu
Ww ndio Sammata mwenyewe jichunge mzee baba! tunataka tukuone unakuwa on top of the top kwenye top league....ligi ya Belgium ni njia tu....Acha uduanzi we ushawahi kumsupport?au unaleta uchawi tu?
Ana kiburi ehh juzi alisema hakuwai pata support ya mtu yeyote ni kipaji chake tu
Kwani uongo?? Bongo watu hawapeani support, ni kuoneana wivu tu. Af baadae ukitoboa utaona wengi wanajidai kama vle walikusupport.Ana kiburi ehh juzi alisema hakuwai pata support ya mtu yeyote ni kipaji chake tu
Kipaji chake ndo kimefanya hao mazembe na genk wamfate na kumnunua, Bongo nyoso sana. Yaan mtu kaweka jitihada zake full afu uje kizembezembe tu unasema tumempa support.Hakupata sapoti? huko mazembe alijiuza mwenyewe?? Na huko Genk kajiuza mwenyewe? . na soka kajifundisha mwenyewe!! .. au kwake sapoti ni nini?
acheni mindset za ajab...tofautisha kiburi na kuongea reality...mtu kaongea reality mnaanz kutumia kivuli cha kiburi kupotez ukwel tuambie nan kamsapot?
soka ni kipaji kutoka kwa Mungu ,huwezi kusema mesi kafundishwa kuwa vile au kuna kocha kamfanya samatta kuwa hivyo ,kwanini asingewafundisha wachezaji wote wawe kama samatta,hapo ni juhudi zake na kujituma.Hakupata sapoti? huko mazembe alijiuza mwenyewe?? Na huko Genk kajiuza mwenyewe? . na soka kajifundisha mwenyewe!! .. au kwake sapoti ni nini?
sawasawa kabisa.soka ni kipaji kutoka kwa Mungu ,huwezi kusema mesi kafundishwa kuwa vile au kuna kocha kamfanya samatta kuwa hivyo ,kwanini asingewafundisha wachezaji wote wawe kama samatta,hapo ni juhudi zake na kujituma.
kuuzwa mazembe au Genk sio sapoti, pia ni juhudi zake,aliuzwa ili watu wapige pesa,kama sio juhudi binafsi asingeuzwa huko.kwani wachezaji wangapi wamecheza mazembe wote wameuzwa Genk? au time nyingine kubwa za ulaya?
hakuna sehemu nilisema kwamba samatta hana mke au familia yake.Acha fikra zako hizo, Samatta ana mwanamke na Watoto wawili juu. Ndiyo maana humwoni kuhangaika na mabinti, hata picha moja ya kupiga nao inayoweza kuwa ushahidi ukiambiwa uilete. Hutakuwa nayo.
Jamaa ndiyo maana Mwanamke wake kamuweka mbali na media, hizi nongwa zenu wangetengana siku nyingi
Yaani Monalisa kupigwa picha uwanjani, akaipost ushaleta tafsiri yako
acheni wivu, kuna nini cha ajabu hapo! msimbebeshe zigo zito ashindwe hata kuongea na watu kisa awafurahishe nyie!!angalizo: mimi sio mtu wa habari za udaku, ila leo najaribu kuanzisha thread kwa kutumia approach ya kiudaku.
twende kwenye mada kuu.
nakumbuka miaka kadhaa iliyopita hapa jf, watu mbalimbali walimfsia sana mbwana samatta kwa kujiweka mbali na wadada "wadangaji wa mujini" hususani wa kutokea tasnia ya bongo movie.
inasemekana kila mbwana samatta anaporudi likizo toka ughaibuni anakocheza soka, wadada maarufu wa mujini huwa wanatumia kila mbinu ili wapate nafasi ya kuwa karibu naye.
licha jitihada hizo, wengi huwa hawampati maana mbwana samatta sio mtu wa kuzurula usiku kwenye kumbi mbalimbali za starehe na akitua tu bongo huwa anajificha kule kwao mbagara mpaka likizo yake iishe.
yaani ni agharabu sana kumuona akishinda mitaa ya kinondoni wanakopatikana wadada wengi wadangaji wa mujini na wakaka "midananda"(wapambe).
ila safari hii naona kama samatta kaenda kinyume na msimamo wake. kwa mara ya kwanza amempost mdada wa bongo movie monalisa.
hii ndio sawa na kusema, wadada wa bongomuvi hawakwepeki kwa vijana wenye pesa. ila shida yao ni moja, ukishaanza kujihusisha nao kimapenzi, mafanikio yako kiuchumi yanaweza kutoweka. ni kama wana gundu hivi.
View attachment 1116733
Kwani anakula raha?Mwacheni Samatta ale raha
twafeli kwenye umbea na unafki.Hakuwahi kumposti kwa kuwa hakuwa na sababu ya kumposti, kamposti kwa kuwa ana sababu ya kumposti. Hivi wabongo tunafeli wapi??