utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Wewe taahira umesahau kuwa TFF waliwagomea YANGA wakiwa Tunisia wakakataa ombi lao la kuahirisha mechi Yao dhidi ya Kagera sugar?Kuna vyura vitakuja kupiga kelele hapa very soon
RubbishKama ni kweli basi naipongeza TFF kwa kuonyesha uzalendo, nadhani hata Mbeya watakuwa wameridhia. Simba wana jukumu zito la kitaifa mbele yao, ikifanikiwa Simba na taifa limefanikiwa.
Nlijua tu lazima kelele zianze na umekuwa wakwanza na mitusi juu 🤣 🤣 🤣 huu mchezo hauhitaji hasira, kwanza wamesogeza siku moja tuWewe taahira umesahau kuwa TFF waliwagomea YANGA wakiwa Tunisia wakakataa ombi lao la kuahirisha mechi Yao dhidi ya Kagera sugar?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wanajukumu gani mbele yao?Kama ni kweli basi naipongeza TFF kwa kuonyesha uzalendo, nadhani hata Mbeya watakuwa wameridhia. Simba wana jukumu zito la kitaifa mbele yao, ikifanikiwa Simba na taifa limefanikiwa.
Simba ni kubwa kuliko Yanga, ushajioneaaa mwenyewe.Wewe taahira umesahau kuwa TFF waliwagomea YANGA wakiwa Tunisia wakakataa ombi lao la kuahirisha mechi Yao dhidi ya Kagera sugar?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ndio busaraChama cha soka nchini TFF hatimaye kimeridhia ombi la klabu ya Simba na hivyo kuamua kusogeza mbele mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya City Ulivokuwa ufanyike tarehe 17/Jan.
Hatua iyo imefikiwa ili kuipa nafasi Simba S.C iweze kujipanga vyema kuliwakiliaha taifa huko uarabuni kwenye mechi zake za kirafiki.
Nawasilisha.......[emoji3578][emoji3578]View attachment 2479244
Ina ukubwa gani we mkia? Ungesema Simba inapendelewa zaidi ya Yanga Hapo ungeeleweka vizuriSimba ni kubwa kuliko Yanga, ushajioneaaa mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Povuuuuuuuu jingiii, suguliaa pumbu hizo sio zinababukaaa km andazi la mama hassan pale Kibo. LolWanatengenezewa mazingira ila kwa vile timu lao bovu hata wafanyeje lazima tutawabutua tu na wataambulia kombe la uji tu hawa mbwakoko
Chura FC kaa kwa [emoji360], huyu mchezo hau hutaji vilio na kelele.Ina ukubwa gani we mkia? Ungesema Simba inapendelewa zaidi ya Yanga Hapo ungeeleweka vizuri
Hilo la kucheza na na fatique mlilianzisha nyie msimu uliopita. Kikombe kile lazima mkipitie with no excuseYanga walicheza with fatigue just imagine kutoka Tunisia kuja bongo lazima upite Dubai then ndio uje tena Africa
Wamefika Dar wakaunganisha kwenda Mwanza ni kwa sababu ya utimamu (fitness) plus squad depth (upana wa kikosi) ndio maana yanga waliweza ku manage, Ila kiuhalisia this wasn't fair hata kidogo
Mpira no mchezo wa kitaalamu (sayansi) kama mmoja anapata mapumziko stahiki why na mwingine asipewe ili kutengeneza common ground ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app