utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Chama cha soka nchini TFF hatimaye kimeridhia ombi la klabu ya Simba na hivyo kuamua kusogeza mbele mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya City Ulivokuwa ufanyike tarehe 17/Jan.
Hatua iyo imefikiwa ili kuipa nafasi Simba S.C iweze kujipanga vyema kuliwakiliaha taifa huko uarabuni kwenye mechi zake za kirafiki.
Nawasilisha
Hatua iyo imefikiwa ili kuipa nafasi Simba S.C iweze kujipanga vyema kuliwakiliaha taifa huko uarabuni kwenye mechi zake za kirafiki.
Nawasilisha