vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Siku zote mlikuwa wapi mpaka mnaanza tena preseason Dubai. Kwasasa unatengeneza timu hiyo jeuri unaitolea wapi? Timu yako ni kama mwanafunzi anayeomba mtihani usogezwe mbele kisa tu hakujiandaa kwasasa.Mkuu tuliwaletea fainali za CAF hapa 1993, timu pekee ya Tanzania kuwahi kufanya hivyo. Exactly miaka 30 baadae tunawaletea tena fainali ya CAF hapa ila safari hii tunabeba ndoo. Kumbuka maneno haya.