Hatimaye memba pendwa wa jf gentamycine aanza kupevuka kiakili.

Hatimaye memba pendwa wa jf gentamycine aanza kupevuka kiakili.

Yah naona unaji-promot kwa id yako ingine!
Mtakapokuwa na Akili na kuacha Upumbavu wenu wa Kutukuka ndipo mtakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa ID's zote zinazoniongelea kwa Wema si zangu ila ni Utashi tu wa Watu ( Members )

Huu Uzi ungeanzishwa Kunisema au Kunishambulia kama ambavyo Wewe na Wapumbavu Wenzako wengi hapa huwa mnataka ( mnapenda ) wala usingekimbilia kusema au kuhisi kuwa hii ID ni yangu na huu Uzi nimejianzishia Mwenyewe.

Siwalaumu Wapumbavu nyie ( wakiongozwa nawe Kinara wao ) kwa Upuuzi huu bali namlaumu mno Mwenyezi Mungu ni kwanini 'Kanibariki' na 'Vipawa' vingi mpaka 'Natural Charm' hii ambayo Kwenu wengi ni 'Chukizo' halafu nyie amewaacha tu hivyo hivyo.

Niliwahi kusema huko nyuma na kupitia Kwako tena Mpumbavu Wewe narudia kwa kusema kwakuwa GENTAMYCINE kutwa tu nahusishwa na ID's mbalimbali hapa JamiiForums basi Kuwarahisishieni Kazi fanyeni tu kuwa ID's zote hapa ni zangu sawa?

Kama nina Mvuto wa 'Kiuwasilishaji' na 'Kiuchangiaji' niwapo hapa JamiiForums nikipendwa na 'Members' mbalimbali ( tena wenye Akili ) ni Dhambi?

Na ungekuwa JF Member mzoefu hapa wala usingesema kuwa hii ID ya Superbug ni Mimi GENTAMYCINE kwani kama kuna Watu ambao huwa 'nagombana' nao hapa katika Mijadala mbalimbali ni Yeye na Mifano ipo hai katika 'threads' zangu za nyuma sasa inawezekana vipi huyu huyu ninayegombana nae Kutwa hapa leo kaanzisha Uzi wa Kunihusu halafu mnasema hiyo ID ni yangu?

Pumbavu....!!!!

Cc: Cambodian, 3 Angels message, Kijana wa jana, ID Fake, kelphin kepph
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkono mmoja weka juu tunacheza hivi!!!! Hivi!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu chaajabu alivyoanza kujibu mtagiwa muanzishaji kapotea[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtakapokuwa na Akili na kuacha Upumbavu wenu wa Kutukuka ndipo mtakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa ID's zote zinazoniongelea kwa Wema si zangu ila ni Utashi tu wa Watu ( Members )

Huu Uzi ungeanzishwa Kunisema au Kunishambulia kama ambavyo Wewe na Wapumbavu Wenzako wengi hapa huwa mnataka ( mnapenda ) wala usingekimbilia kusema au kuhisi kuwa hii ID ni yangu na huu Uzi nimejianzishia Mwenyewe.

Siwalaumu Wapumbavu nyie ( wakiongozwa nawe Kinara wao ) kwa Upuuzi huu bali namlaumu mno Mwenyezi Mungu ni kwanini 'Kanibariki' na 'Vipawa' vingi mpaka 'Natural Charm' hii ambayo Kwenu wengi ni 'Chukizo' halafu nyie amewaacha tu hivyo hivyo.

Niliwahi kusema huko nyuma na kupitia Kwako tena Mpumbavu Wewe narudia kwa kusema kwakuwa GENTAMYCINE kutwa tu nahusishwa na ID's mbalimbali hapa JamiiForums basi Kuwarahisishieni Kazi fanyeni tu kuwa ID's zote hapa ni zangu sawa?

Kama nina Mvuto wa 'Kiuwasilishaji' na 'Kiuchangiaji' niwapo hapa JamiiForums nikipendwa na 'Members' mbalimbali ( tena wenye Akili ) ni Dhambi?

Na ungekuwa JF Member mzoefu hapa wala usingesema kuwa hii ID ya Superbug ni Mimi GENTAMYCINE kwani kama kuna Watu ambao huwa 'nagombana' nao hapa katika Mijadala mbalimbali ni Yeye na Mifano ipo hai katika 'threads' zangu za nyuma sasa inawezekana vipi huyu huyu ninayegombana nae Kutwa hapa leo kaanzisha Uzi wa Kunihusu halafu mnasema hiyo ID ni yangu?

Pumbavu....!!!!

Cc: Cambodian, 3 Angels message, Kijana wa jana, ID Fake
[emoji23][emoji23]huyu ndio kapevuka?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkono mmoja weka juu tunacheza hivi!!!! Hivi!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu chaajabu alivyoanza kujibu mtagiwa muanzishaji kapotea[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafadhali soma post yangu #26 ina Majibu ya Kutosha tu kwa Mpumbavu Mwandamizi wa aina yako sawa?
 
Mtakapokuwa na Akili na kuacha Upumbavu wenu wa Kutukuka ndipo mtakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa ID's zote zinazoniongelea kwa Wema si zangu ila ni Utashi tu wa Watu ( Members )

Huu Uzi ungeanzishwa Kunisema au Kunishambulia kama ambavyo Wewe na Wapumbavu Wenzako wengi hapa huwa mnataka ( mnapenda ) wala usingekimbilia kusema au kuhisi kuwa hii ID ni yangu na huu Uzi nimejianzishia Mwenyewe.

Siwalaumu Wapumbavu nyie ( wakiongozwa nawe Kinara wao ) kwa Upuuzi huu bali namlaumu mno Mwenyezi Mungu ni kwanini 'Kanibariki' na 'Vipawa' vingi mpaka 'Natural Charm' hii ambayo Kwenu wengi ni 'Chukizo' halafu nyie amewaacha tu hivyo hivyo.

Niliwahi kusema huko nyuma na kupitia Kwako tena Mpumbavu Wewe narudia kwa kusema kwakuwa GENTAMYCINE kutwa tu nahusishwa na ID's mbalimbali hapa JamiiForums basi Kuwarahisishieni Kazi fanyeni tu kuwa ID's zote hapa ni zangu sawa?

Kama nina Mvuto wa 'Kiuwasilishaji' na 'Kiuchangiaji' niwapo hapa JamiiForums nikipendwa na 'Members' mbalimbali ( tena wenye Akili ) ni Dhambi?

Na ungekuwa JF Member mzoefu hapa wala usingesema kuwa hii ID ya Superbug ni Mimi GENTAMYCINE kwani kama kuna Watu ambao huwa 'nagombana' nao hapa katika Mijadala mbalimbali ni Yeye na Mifano ipo hai katika 'threads' zangu za nyuma sasa inawezekana vipi huyu huyu ninayegombana nae Kutwa hapa leo kaanzisha Uzi wa Kunihusu halafu mnasema hiyo ID ni yangu?

Pumbavu....!!!!

Cc: Cambodian, 3 Angels message, Kijana wa jana, ID Fake, kelphin kepph
Binafsi, huwa napenda aina ya uandishi wake, bila kujali anaelezea nini. Nadhani angekuwa anaandika vitabu, nisingekuwa nachoka kuvisoma! Napata maneno mengi mapya!
 
Back
Top Bottom