Hayatuhusu.....
Hayo ni mambo yake binafsi
Anajishaua tu haka kajery anamagari ya kifahari tokea 2008 nlikuwa nadate na rafiki yake anakaa Uingereza akija bongo anatumia gari za jery.
Na magari haswa yalikuwa
Meya Jerry Silaa akiwa anafungua gari lake aina ya Toyota IST alilofanikiwa kulinunua hivi karibuni tu ambalo limegharimu muda mrefu kulipata gari hilo ambapo anasema lilikuwa ni ndoto yake muda mrefu kwani amekuwa hana gari na amekuwa akitumia gari la serikali na kwa muda mwingine inamlazimu kutembea nalo katika shughuli zake binafsi.
Nilikuwa nataka kuuliza swali hili pia...
Usidanganyike!huyu ndiye kiongozi tunayemtaka tanzania. anafaa hata kuwa rais au spika wa bunge la jamhuri wa tanzania kuanzia oct.2015
Mbona hii namba ya gari ni ya siku nying? CSX huenda ya mwezi wa saba mwaka jana sio mwaka huu. Tangu mwaka jana mwishoni namaba zilishaenda D...
Basi sio fisadi,kama hapo nyuma hakuwa na uwezo wa kununua gari leo hii kaupataje?Bora hata Jerry amejitahidi.
Mimi diwani wangu wa Kata ya Engutoto Ndg.Elibariki Malley hana hata baiskeli.