sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
- #21
ugomvi wa clouds na diamond Ni wakijinga.haiwezekani mtu ambaye unagombana nae LAKINI ANA URAFIKI NA BOSI WAKO.
yaani diamond na kusaga ni MARAFIKI alafu wewe mfanyakazi unajifanya una ugomvi na diamond.
ishu ilikuwa ni ruge, ruge alikuwa anaheshimiwa na kila mfanyakazi wa clouds kuliko boss wa clouds kusagaHao clouds hawajielewi.
Hapo hapo mmiliki na bosi wenu wa clouds ana urafiki na diamond.