Hatimaye Mindi Kasiga aenda kuula Washington Michuzi blog yachomoa picha za tukio baada ya kustuliwa

Hatimaye Mindi Kasiga aenda kuula Washington Michuzi blog yachomoa picha za tukio baada ya kustuliwa

Sidhani kama haya ndo majaaliwa yetu Watanzania. Tuache kulalamika. Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno.
 
kumbe ni mzoefu tu katika haya mambo na kakaa huko tayari. haipaswi kulalamika. Piga mzigo Mindi, tuache tuendeleze mapambano huku ili tukishaweka nchi sawa tuwarudishe

mkuu sipati picha ulivyowafugia hasira..
 
Wanajamii tujifunze kuandika ukweli,baadhi ya maneno yetu humu yananukuliwa na magazeti na kusambaza habari zisizo za kweli.Habari hizo hazijengi bali zinabomoa.Mindi hana mahusiano yoyote na Rahma Kharoos.Huyu dada ni mfanyakazi wa serikali toka mwaka 2006 alipomaliza shule yake kule Minneapolis/St.Paul,Minnesota.Kwa kipindi tofauti amesoma Warldof ,Iowa na baadaye Milwaukee,Wisconsin alipokutana na Mumewe Alex Tarimo.Mindi Kasiga ambaye amezaliwa mwanzoni mwa miaka ya 1980 ana Dada zake wawili,Kalunde (Kay) na Emma ambao wanaishi katika Jiji la Minneapolis.Mara baada ya kumaliza shule yake Mindi Kasiga aliajiriwa Ikulu - Dar-Es-Salaam katika Idara ya mawasiliano akifanya kazi na Asha Mtwangi,baada ya Mkataba wao kuisha alifanyakazi ktk Ofisi za UN,Dar kabla ya kuingia Foreign Affairs.Katika Mikutano ya Dicota September/2011(Washington -DC), Mindi alikuja akiambatana na Ujumbe kutoka Foreign Affairs.Kupangiwa kazi Ubalozi wetu DC ni maombi maalumu ya Mama Balozi,baada ya kuona kuwa Kasiga ana ufahamu na mambo ya USA kutokana na kuishi na kusoma huko.Tumpe ushirikiano,ni kijana mdogo lakini mwepesi kujifunza.Ni kweli Mama mzazi wa Mindi ni Dada yake Mama Mkapa,Kama ilivyo kwa Balozi Sefue na Balozi Mstaafu Ben Moses.Baba yake mzazi Mindi ambaye ni Marehemu ni mzaliwa wa Tabora,na kipindi cha nyuma alikuwa Daktari katika makambi ya Wapigania uhuru.Mindi ameolewa na ana mtoto mmoja.

Nimekubali
 


IMG_0686.JPG

Kutoka kushoto ni Afisa Mindi Kasiga, Afisa Suleiman Saleh, Dr Switebert Mkama, Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe, Waziri kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Ezekia Wenje, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh. Lazaro Nyalandu, Afisa Kiju, Kaimu Balozi, Mh. Lily Munanka, Afisa Abbas Missana, Afisa Agnes Lusinde, Afisa Edward Masanja na Brigedia Jenerali Maganga wakiwa katika picha ya pamoja.


images






32.jpg
 
hapa sasa nimepata jibu

kumbe ndio maana sipati kazi za kupanda ndege kwa kuwa nimesoma shule za kata,kumbe kama ukisoma FLORIDA,QUEENSLAND,UKFRONT basi kazi nje nje lakini pia bado kuna umama mdogo na ubaba mkubwa,ukizingatia wazazi wangu wameishia kulima mpunga pale KIHELEZO-LUHEMBE basi tena sina changu

ngoja nikafukuze ndege mie,watamaliza mpunga wangu

haya jamani ooooh UDSM,SUA,UDOM hizi kazi hupati ng'oooooooooooooooo

Mimi cheti changu ni bureeeeeeeeeeeeeeeee

sipati kaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Mungu awalaani hawa wanaopeana kaziiiiiuuuu
 
Moja ya sababu inayonifanya nisiipende sana blog ya michuzi pamoja na yeye mwenyewe, hayupo kuelimisha/kujuza umma,bali kama kipigia debe flani cha ccm, haiyumkini mambo yanayoelekea kutokuwa mazuri kwa ccm atayaficha

Mkuu mwanzo nilikua mfuatiliaji mzuri sana wa Blog ya michuzi,,lakini baada ya kuja kugundua naye ni walewale huu ni mwaka sasa sijakanyaga tena mule ndani
 
Je ni kwanini wasiwape hizi kazi Watanzania wanaoishi USA badala ya kuleta watu kutoka Tanzania ambao wengi wanachua miaka mingi sana kuzoea utamaduni. Kila siku kuna malalamiko ya huduma kwasababu watu wanaofanya kazi hawajazoe mazingira. Mimi kwa mawazo yangu hakuna haja ya Tanzania kuajiri watu kutoka Tanzania kwenye shughuli za ubalozi kuna watu wengi sana USA na nchi nyingine ambao wangeweza kufanya hizo kazi na wengi wao hawahitaji kulipiwa vitu kama vyumba n.k maana ni wenyeji lakini ni wa Tanzania.
We umeenda kwa mishe zako alafu wakupe kazi ubalozini?hakuna kitu kama hicho,wengi kama sio wote wanakuwa wapo ofisi ya wizara hapahapa Tanzania na kuhamishiwa huko,sasa wewe unategemea nani akupe kazi wakati hakuna anayekujua na unaishi ughaibuni jobless
 
Hovyo tu. Ukienda pale ubalozini kwetu Washington DC wanaringa kama nini. Huyu dada hata suala dogo tu hawezi kukusaidia. Hovyo kabisa!
 
Mkuu mwanzo nilikua mfuatiliaji mzuri sana wa Blog ya michuzi,,lakini baada ya kuja kugundua naye ni walewale huu ni mwaka sasa sijakanyaga tena mule ndani
Hivi bado yupo kazini!? ....au naye huenda akakimbia kazi kama wale wa NSSF maana sasa hivi safari za kila leo ughaibuni hakuna, sasa hizo picha atampiga nani!
 
mindi.jpg



Blog ya Michuzi jana ilitoa picha ya tukio la Mindi Kasiga kuagwa akijiandaa kwenda kufanya kazi kwenye ubalozi wa Tanzania mjini Washington. Ghafla picha zile zilichomolewa toka kwenye wavuti. Wengi wanashangaa ni kwanini wahusika walifanya hivyo. Je ni kutokana Mindi kuwa mdogo wake Rahma Kharoos Kasiga anayesemekana ni nyumba ndogo ya bwana mkubwa au ile haya ya sherehe hiyo kuhdhuriwa na Adam Gile ambaye hatuna uhakika kama ana uhusiano na akina Gile wa Richmond? Je sababu ni kutotaka watanzania wasijue jinsi watu wanavyohudumiana na kupendeleana mchana kweupe?
Aisee Adam Gille hana uhusiano na Gile wa Richmond. Adam Nimekuwa nae kitaa mshua wangu na wake walikuwa wanafanya shirika moja hivyo ni mtu tuliyrcheza wote tangu utoto. Gille ni ukoo unaotokea Shinyanga, kama koo nyingine za Magina Ng'wandu etc.

Ninachojua Adam anafanya kazi Ikulu kama mwaandishi wa habari na shavu hili alipewa enzi za JK (kuna uhusiano kati ya mama wa adam na akina kikwete).

Kwa namna hiyo katika picha hy upo uwezekano wa kwamba Adam alialikwa kwenye hiyo party na co worker huyo aliyekuwa anaagwa na yy kuamua kuambatana na mdogo wake huyo ambaye yy anafanya kazi BOT. Kwa ufupi ni hvy naijua hiyo familia ya akina adam kwa kina.
 
Saa zingine unasema bora huyu Magu
 
Yaani watu hawana sifa hawajaenda shule wapo ofisi kubwa.wkt mwingine bora magufuli tu
 
Back
Top Bottom