Hatimaye Miriam Odemba akiri kudanganya umri

Ni mzuri odemba jamani ni wa muda mrefu lakin wema keshazeeka
 
kwa mara ya mwisho nimeonana nae China 2010 anachuna kinoma, sijui ameamua kuishi maisha gani.
 
Mamodel wa kibongo wengi ni machangudoa, kazi Yao ni kuwauzia tako mababu wa kizungu. Binti yangu Bora aendeshe lori kuliko kuwa sijui Miss maharage sijui Miss Tandika. Ovyo tu
 
Duuuh mwenye picha atuweke humu ndani maana siku nyingi hatujamwona
 
Mamodel wa kibongo wengi ni machangudoa, kazi Yao ni kuwauzia tako mababu wa kizungu. Binti yangu Bora aendeshe lori kuliko kuwa sijui Miss maharage sijui Miss Tandika. Ovyo tu
Teh teh umenichekesha sana kwa hiyo ni bora binti yako aendeshe mbaula ??
 
Hawa ndio wale wa mwanzoni Faces International Models ndio walipotokea pamoja na kina Frank Gonga Machozi.
 
Ila hawa watu wanaishi ulaya mbona kama wako alosto. ..maana nitajenga nitasaidia zinakuwa nyiiingi.

Badala ya nimejenga na nimesaidia. ..Odemba wa longi ati...sasa mpaka leo anatoa ahadi si sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…