Hahahahah... Mkuu umenikumbusha mbali sana, kuna wale jamaa wanaouza madawa ya kuongeza nguvu...... na blabla nyingine ndio gari yao ina machata hivyo. Mimi nimefikiri wamewaazima majamaa coz hiyo gari kama ni ya miss tz kweli basi ni MATUSI kwa mhusika na haina hadhi na muda aliocheleweshewa kupata hiyo zawadi (bango la matangazo ya vipodozi)Mbona imejaa mabango kama ya wichdokta?
wamempa gari ya kutangazia biashara zao. hawajampa zawadi
Kama ukuta wa uswazi uliopigwa michata kibao na wahuniKwa hiyo atakuwa analiendesha na ayo matangazo
hahahaKigari kimeshatembelewa hiko hadi kimechoka.. Kwa kweli siyo hadhi yake hiko kigari cha matangazo ya Grace products
Ina maana Grace Product ni miongoni mwa Wadhamini wa hili shindano.