Jitu jeusi JF-Expert Member Joined Oct 18, 2015 Posts 1,715 Reaction score 2,385 Jan 26, 2018 #1 Ongera sana wana wa mkoa wa mara(KIUMENI) kwa hatua hiii, mmekuwa kimya sana atimaye yanaenda kutimia. Tuna waombea Timu ya BIASHA Kufika mbali hata kupata mafanikia makubwa. Matokeo ya mechi za leo 26/01/2018 Binafsi nilitegemea kariakoo ndo ingetoa jina la timu biashara lakini wajanja wa kiumeni(mara ndo wamewakilisha safi sana) CC kwa wakazi wooote wa jiji la Arusha, [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74]
Ongera sana wana wa mkoa wa mara(KIUMENI) kwa hatua hiii, mmekuwa kimya sana atimaye yanaenda kutimia. Tuna waombea Timu ya BIASHA Kufika mbali hata kupata mafanikia makubwa. Matokeo ya mechi za leo 26/01/2018 Binafsi nilitegemea kariakoo ndo ingetoa jina la timu biashara lakini wajanja wa kiumeni(mara ndo wamewakilisha safi sana) CC kwa wakazi wooote wa jiji la Arusha, [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74]