Hatimaye Mkoa wa MARA wakalibia kupata timu ya ligi kuu 2018/2019

Hatimaye Mkoa wa MARA wakalibia kupata timu ya ligi kuu 2018/2019

Jitu jeusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
1,715
Reaction score
2,385
Ongera sana wana wa mkoa wa mara(KIUMENI) kwa hatua hiii, mmekuwa kimya sana atimaye yanaenda kutimia.
48d5d9ecf26f40d89a6102ec94fddfa5.jpg


Tuna waombea Timu ya BIASHA Kufika mbali hata kupata mafanikia makubwa.
Matokeo ya mechi za leo 26/01/2018
72552c7604b7a4a27922fd01e76c7d5f.jpg


Binafsi nilitegemea kariakoo ndo ingetoa jina la timu biashara lakini wajanja wa kiumeni(mara ndo wamewakilisha safi sana)

CC kwa wakazi wooote wa jiji la Arusha,
[emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74]
 
Back
Top Bottom