hatimaye mkuu mpya wa chuo cha saut mwanza aanza kazi baada ya fr. mgeni kujiuzulu,hyu nae ni fr. ametokea Jordan university ambayo ni branch ya saut,fr. kitima kaiacha pabaya sana saut mpka leo kuna wafanyakazi wenzetu hawajalipwa mishahara ya miezi mitatu,kitima ni fisadi sana