Hatimaye mkuu wa HAMAS asema wako tayari kuitambua Israel almradi yaishe

Uharo mtupu wewe kila kitu hatimaye.
Oyaa kaka Ritz hii si poa? Mbona unajibu comments zingine yangu unapotezea? NIMEKUULIZA MARA KADHAA HUYO MWAMBA JAMAA ZOMBIE KWENYE AVATAR PICHA YAKO NAYE PIA NI MUISLAMU? NIJIBU BANA
 
We leta story za kulikuza Israel ukweli safari hi America na Israel ndio wanao benbeleza ceasefire ili Israel atoe jeshi Lake kwa Usalama hapo Gaza.

Cha kushangaxa Hamasi kwanini anawasikiliza Qatar na Misri? Hawa wanafanya vile kwa faida ya Israel na US , hata kama viongozi zenu wanaishi Qatar hio ni faida ya America ili Israel ikizidiwa watumie Qatar kuwaokoa.

Hamasi hawezi itambua Israel hata siku moja, labda hao wakubwa wamepigwa pesa ili waseme vile lakini hilo gazeti ni lawapi? Lisije kuwa la UAE au Saud Arabia, Jordan, au Misri hapo litakuwa ni proUsrael tu na propoganda zao😄
 
Israhell anateseka nandio maana kaamua kuua raia wasio hatika kama kujipoza
Utakuwa unaangalia sana tv la kiislam wadhamini wa Hamas na Mgaidi Aljazeera maana wao ndio kila siku tokea vita inaanza wanatangaza kuwa wanaokufa ni Watoto na wanawake tu.. No Hamas kabisa... inashangaza sana Hamas wao hawadedi... Mara Hospital imelipuliwa wamekufa raia na wagonjwa mia nane yaani uongo kila day... kuhadaa dunia sasa watazamaji wakitizama hawaoni Hizo hospital zilizolipuliwa na wanajeshi wa Israel wanawaonesha Hamas wakiwa na nguo za kiraia even Hamas wenyewe hawavai nguo za kijeshi so wakiuliwa wanaitwa raia so Israel inaua Raia... Miislam mijinga inatekwa na Taqiya aya za koran wanaamini 1000000%
 
Yemen kawatia adabu wameamua kufungua border vyakula vingie Gaza, Yemen aliwambia mmefungia ndugu zetu chakula na nyie lazima tuwafungie meli kuingia Israel.

Yemen ni habari ingine America na Israel na Europe wamebidi wasalimu amri.

Huyu mtoa mada hana jipya yeye kaweka tu mapenzi kwa taifa lao la Paulo la kishoga teule
 

Nashauri tuwapelekee hawa nyama ya nguruwe Watu wa Gaza wala nyama ya punda na kunywa maji ya chumvi kwa njaa. Misri ikipeleka misaada bila ruhusa ya Israel itapata hasara gani
 
Qatar na wenyewe watashughulikiwa Kama magaidi wengine, maana wapo mstari wa mbele kuwasimamia hawa Hamas. Sababu zinawafanya hawa viongozi was hamasi wawe na makazi app doha
 
Qatar na wenyewe watashughulikiwa Kama magaidi wengine, maana wapo mstari wa mbele kuwasimamia hawa Hamas. Sababu zinawafanya hawa viongozi was hamasi wawe na makazi app doha
lengo lako sielewa unafamu kuhusu ugaidi ama gaidi ni nani hebu funguka
 
Wacha Israel iwabake bado kazi inaendelea mwambie baba yenu, atulie aweke matako yake kimya
munakenua huko basha yenu marekani anahaha hajui afanye nini kila kukicha ni magumu kweli izrael kaingia gaza ila kutoka hawezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…