Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Yule mtumishi wa Mungu bwn Munishi ameweka wazi juu ya issue yake ya kurudisha gari alilopewa kama dhawadi na "Nabii" wa Arusha.
Mapema week hii munishi alikuja hadharani na kuongea kimafumbo kwamba anarudisha gari ya Geodervie sababu hataki "kufanya" anachoombwa na nabii huyo,jambo hili lilizua maswali miongoni mwa vijana wakitaka kujua Munishi kaombwa nini hiko nq Nabii ambacho hataki kusema😀.
Basi Munishi ameamua kufunguka kwamba amepewa gari lakini "machawa" wa nabii wanataka aende kanisani kushukuru.
View attachment 2505300
Toba.....🙊Akirudisha nipewe
Vijana walijiuliza sana Munishi kaombwa nini na nabii😂Nimecheka sana
Amekataa kuimba mapambio😂Mkibosho jeuri kweli🤣🤣🤣🤣
achana nalo mkuu nasikia anadai fidia ya kunapotokea samadi. Bw. Munishi kachekecha akili kati ya rinda na noah, akaona bora abaki na rinda lake.Akirudisha nipewe
Ndo maagano ya mkataba wake niniachana nalo mkuu nasikia anadai fidia ya kunapotokea samadi. Bw. Munishi kachekesha kati ya rinda na noah, akaona bora abaki na rinda lake.
Bora kupanda daladala ukiwa na rinda lako kuliko kuwa katika noah huku mashuzi yanakutoka.