Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za vyuo sababu uku mada zenu shidaaApplication za nini tena?
Dah hongera mkuu, Mungu azidi kuwa nawe, mwenzio namcha Mungu sana lakini nimeshindwa sio kwamba hajanisaidia, ila tamaa yangu ya puli nimekuwa addicted sana, japo sasa nguvu zimenipungua kwa kuwa nna mke.Habari za saa hii wana MMU! Leo nimekuja mbele yenu kuwashuhudia wema ambao Mungu amenitendea. Nilipokuwa likizo mwaka juzi nilijikuta naanza kamchezo ka nyeto baadae kakaninogea but kwa bahati nzuri mwenzenu nimejifunza kumcha Mungu jambo ambalo limekuwa likipelekea napata guilty kila nikipiga pili. Kadri nilivyo kuwa nikiendelea kupiga puli ndo guilty ikawa inaongezeka hatimaye nikamwomba Bwana Yesu aniondolee hamu ya kupiga puli Kwani raha yake ni wakati unapiga lakini makinikia yakitoka unaanza juta tena kwa nini nimepiga.
Hakika Mungu ni mwaminifu alinisaidia leo mwaka umeisha japo mwishoni hapa juzi nilizidiwa hamu nikataka kupiga lakini nafsi ikanambia "acha ujinga, umewaza maliza siku hizo leo ndo unataka ujichanganye!"
Hatimaye nimeshinda, si kwa nguvu zangu wala akili zangu bali ni kwa uweza wa Yeye Aliye juu. Glory be to the Most High!
Mods naomba mnisaidie hapo kwenye heading kwenye neno pili mliondoe muweke PULI. Nimejaribu kuedit nimeshindwa
Dhambi jiulize kwanini nafsi inakusuta pindi ukifanya hivyo...kama lingekuwq jambo la kawaida hata ungekuwa na amani nalo
Asante sana mkuu. Nilichojifunza ni kwamba, si rahisi na si kujiamulia ndo waweza acha. Ni kweli waweza mcha Mungu na maandiko ukawa unayajua na ukawa mwimbaji yaani prayer warrior lakini puli ikakushinda kuacha. Unahitaji nguvu kubwa ya kutawala mawazo yako kwani yote huanza na mawazo. Binafsi namwomba sana Mungu hamu ya puli isinikaribie. Endelea kuimba wimbo wa Tenzi za rohoni namba 5, Jina la Yesu tamu, tukilisikia, hutupoza tena hamu, hutuondolea......Dah hongera mkuu, Mungu azidi kuwa nawe, mwenzio namcha Mungu sana lakini nimeshindwa sio kwamba hajanisaidia, ila tamaa yangu ya puli nimekuwa addicted sana, japo sasa nguvu zimenipungua kwa kuwa nna mke.
Ila usije jipongeza kwa kujihesabia siku kuwa umeshinda safari no bado sijui kama utaweza hadi mwisho wa safari, ila hiyo itakufanya uwahi kuoa, na unaweza kuchagua mke asiyekuwa mzuri kwa sababu ya nyege.
Na hapo sijui wewe una umri gani sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeniacha matata kitu gani hicho?Kumbe kupiga puli ni dhambi?
Kwa hiyo hata naniliu huwa hufanyi?
hongera
Mimi naona ni hatua kubwa nimepiga. Wakati ule nilikuwa siwezi pitisha wiki leo hii nimemaliza mwaka kwa nini nisimshukuru Mungu?Mkuu mwaka hautoshi chaman wenzako wan confirm kutoka baada ya miaka 3
Ww kadi yako haichomwi moto utaikuta ukirejea kundini
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani na furaha kuu mno ndani yanguNikuulize swali ni mabadiliko gani uliyoyaona katika mwili na akili yako baada ya Kuacha kujichua??
Sent using Jamii Forums mobile app
HongeraHabari za saa hii wana MMU! Leo nimekuja mbele yenu kuwashuhudia wema ambao Mungu amenitendea. Nilipokuwa likizo mwaka juzi nilijikuta naanza kamchezo ka nyeto baadae kakaninogea but kwa bahati nzuri mwenzenu nimejifunza kumcha Mungu jambo ambalo limekuwa likipelekea napata guilty kila nikipiga pili. Kadri nilivyo kuwa nikiendelea kupiga puli ndo guilty ikawa inaongezeka hatimaye nikamwomba Bwana Yesu aniondolee hamu ya kupiga puli Kwani raha yake ni wakati unapiga lakini makinikia yakitoka unaanza juta tena kwa nini nimepiga.
Hakika Mungu ni mwaminifu alinisaidia leo mwaka umeisha japo mwishoni hapa juzi nilizidiwa hamu nikataka kupiga lakini nafsi ikanambia "acha ujinga, umewaza maliza siku hizo leo ndo unataka ujichanganye!"
Hatimaye nimeshinda, si kwa nguvu zangu wala akili zangu bali ni kwa uweza wa Yeye Aliye juu. Glory be to the Most High!
Mods naomba mnisaidie hapo kwenye heading kwenye neno pili mliondoe muweke PULI. Nimejaribu kuedit nimeshindwa