Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Kaka ndyo unatoka Leo but itakuwa haujawa released
Iweke hapa basi hiyo ngoma nduguHii ngima niidownload mapemaa maana basata kwa akili zao wanaweza kuifungua fastaa
Mkuu serious discussion ney wamitego ataongea nini?Sio wimbo ila ilikuwa ni discussion kuhusu mwenendo wa basata na athari zake kwa tasnia ya muziki
Huyo Niki wa pili na huo ufupi alitakiwa asimame au akae mbele, wasanii gani kupiga picha hawajui? Hapo wanaonekana km wapambe au wamesindikiza Picha ya FidQ.Yeah!
Wale paka na panya wa HIP HOP ya bongo Nikki mbishi a.k.a babu bombo wakutana uso kwa uso na Nikki wa pili katika COLLABO inayoitwa BASATA
Wakali hao wa music bongo ambaye kila mmoja amekuwa akimtambia mwenzake na kufanya kutokea kwa beef kati yao na kuwahi kutupiana maneno kuwa hawana chemistry ndyo maana hawafanyi ngoma Leo tutawasikia katika hiyo ngoma
View attachment 707743View attachment 707744View attachment 707744