dictator cha pombe
JF-Expert Member
- Mar 5, 2018
- 260
- 259
Yeah!
Wale paka na panya wa HIP HOP ya bongo Nikki mbishi a.k.a babu bombo wakutana uso kwa uso na Nikki wa pili katika COLLABO inayoitwa BASATA
Wakali hao wa music bongo ambaye kila mmoja amekuwa akimtambia mwenzake na kufanya kutokea kwa beef kati yao na kuwahi kutupiana maneno kuwa hawana chemistry ndyo maana hawafanyi ngoma Leo tutawasikia katika hiyo ngoma
Wale paka na panya wa HIP HOP ya bongo Nikki mbishi a.k.a babu bombo wakutana uso kwa uso na Nikki wa pili katika COLLABO inayoitwa BASATA
Wakali hao wa music bongo ambaye kila mmoja amekuwa akimtambia mwenzake na kufanya kutokea kwa beef kati yao na kuwahi kutupiana maneno kuwa hawana chemistry ndyo maana hawafanyi ngoma Leo tutawasikia katika hiyo ngoma