Hatimaye niko huru nataka mchumba please

blaza tafuta mgomba uweke ndan maana kwa hayo mashart na dunia ya leo kumpata mwenye robo tu ya hayo mashart ni kaz
 
blaza tafuta mgomba uweke ndan maana kwa hayo mashart na dunia ya leo kumpata mwenye robo tu ya hayo mashart ni kaz
Mungu atamleta tu, sasa unanishauri nioe mshirikina, au asiye na bikira?
 
Jaman kweli duniani kuna mambo.. ongeza hapo awe hajawahi kuishi duniani maana ni balaa..
Kwani wasio na bikra wote ni washirikina??
Too much,ungekuwa unakwenda kanisani kweli kama ulivyoandika ungejua moja tu mke mwema anatoka kwa Mungu.
Mwombe Mungu yeye atakuongoza kupata mke ambaye ataendana na wewe maana yeye anajua mwisho tangu mwanzo wetu.
By the way best of luck,uje utualike humu ndani jaman ukishampata...
 
Poa jitahidi wapo.
 
Nadhani wewe kijana utakuwa na ugonjwa wa akiri unao itwa insomnia ila hujijui,nakushauri nenda kamuone Dr mapema kabla hujawa mwendawazimu kabisa.
 
Yaan hapo kwenye bikra wapatetea sana wewe why
 
Nadhani wewe kijana utakuwa na ugonjwa wa akiri unao itwa insomnia ila hujijui,nakushauri nenda kamuone Dr mapema kabla hujawa mwendawazimu kabisa.
Kwanini hehe
 
Ndo maana wengine tunaogopa kutangaza NIAhumu hawa wavulana wanaharibu maana halis ya hili jukwaa
 
Huwajui wanawake vzr.eti wasio na digrii sio wasumbufu.utarudi humu kuomba ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…