Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Status
Not open for further replies.
Na hiyo hospitali ya george town ndiko alikokuwa kalazwa before?
Je ukaribu huo wa nyumbani kwake alikofia na George town kunahusiana vipi na kifo chake ama afya yake?
 
Labda muonekano wa maiti ni m-baya sana hivyo hawataki aonekane mwonekano wake wa mwisho. By the way awe kafa kweli ama lah, wote sisi tutakufa, hakuna mwenye kuishi milele. Kwa hiyo basi kama wamefoji kifo, ndio watamfanya afe mapema zaidi.
 
Ok.. ngoja niingilie kati kabla halijaenda mbali na kuwapa Exclusive News tena:

a. Balali amefia nyumbani kwake Georgetown, karibu kabisa na hospitali ya Chuo Kikuu cha Georgetown. Amefia nyumbani siyo State ya Wisconsin.

b. However hospitali hiyo upande wake mmoja kuna mtaa wa Wisconsin.

c. Mtaa wa Wisconsin ndiko iliko nyumba ya maziko ambako mwili wake umehifadhiwa. Hivyo siyo State ya Wisconsin.

Balali amefariki na mipango ya mazishi iko vile vile kama nilivyowahabarisha jana. Kitu ambacho naweza kukisema kwa uhakika wa asilimia 100 hadi sasa ni kuwa hakutakuwa na kuuangalia mwili. Familia na jamaa wa karibu waliuona mwili siku ya Jumanne usiku na kesho ni misa tu ya marehemu.

Haya nendeni mkazike gogo, uliona wapi watu wanakatazwa kuangalia mwili? Hata kama mwili umeharibika bado wanaonyesha sehemu ndogo tu ya sura.

Mimi hapo bora nimesema, hata kama nitabaki peke yangu, jamaa hajafa.
 
jamani haya watu wanayofikiri ku fake kifo hayawezekani marekani na wala sikumbuki kuwahi kuyasikia kutokea marekani...ni rahisi ku fake kifo AFRIGHANISTAN...ambako hata magaidi walio huko hu fake kifo ili wasipatafutwe ..hali wamejificha mapangoni!
 
Hivi ukifia nyumbani basi hupelekwi hospitali tena? Nani watatoa death certificate?

Kama amekufa basi hiyo hospitali karibu na kwake inatakiwa wawe na habari za kifo chake.
 
Haya nendeni mkazike gogo, uliona wapi watu wanakatazwa kuangalia mwili? Hata kama mwili umeharibika bado wanaonyesha sehemu ndogo tu ya sura.

Mimi hapo bora nimesema, hata kama nitabaki peke yangu, jamaa hajafa.

unataka marehemu atiwe pingu lau kwa dakika chache kabla hajazikwa??kazi kweli kweli, ndio malipo ya ufisadi au kuwaficha mafisadi. Mwisho wa ubaya aibu jamani tujiangalie na sisi mwisho wetu utakuwa vipi. Hili ni fundisho kwa mafisadi wote na wakumbuke kuwa Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
 
jamani haya watu wanayofikiri ku fake kifo hayawezekani marekani na wala sikumbuki kuwahi kuyasikia kutokea marekani...ni rahisi ku fake kifo AFRIGHANISTAN...ambako hata magaidi walio huko hu fake kifo ili wasipatafutwe ..hali wamejificha mapangoni!

PM,

Huko kufake kifo kunatokea dunia nzima. nenda kule kwenye Ballali hajafa na soma hiyo familia ya UK ambayo hata watoto waliamini baba yao kafa.
 
Haya nendeni mkazike gogo, uliona wapi watu wanakatazwa kuangalia mwili? Hata kama mwili umeharibika bado wanaonyesha sehemu ndogo tu ya sura.

Mimi hapo bora nimesema, hata kama nitabaki peke yangu, jamaa hajafa.

Halafu huyu mtu wanasema aliacha wasia masaa 24 kabla ya kufa kwake!

Aliwaachia wale mashushu 7 waliotumwa na serikali ama ndugu?

Na kama wana imply situation yake kuwa mbaya kiasi hicho..Then kwanini serikali iliwatuma mashushushu hao ndani ya hayo masaa 24 kabla hajafa?

Kuna ndugu zake ambao bado wanawasialiana na serikali kwa siri?

Serikali ilijua vipi anakaribia kufa ndani ya masaa 24?

Ama serikali ina njia zake binafsi?

Maoni ya wazi na kweli ya wanafamilia ni yapi kama ni kweli hawashirikiani na serikali kwenye mauza uza haya?
 
Hivi ukifia nyumbani basi hupelekwi hospitali tena? Nani watatoa death certificate?

Kama amekufa basi hiyo hospitali karibu na kwake inatakiwa wawe na habari za kifo chake.

na huko marekani wanazikwa bila hata kufanyiwa postpartum eeeeh
 
jamani haya watu wanayofikiri ku fake kifo hayawezekani marekani na wala sikumbuki kuwahi kuyasikia kutokea marekani...ni rahisi ku fake kifo AFRIGHANISTAN...ambako hata magaidi walio huko hu fake kifo ili wasipatafutwe ..hali wamejificha mapangoni!

Kuna vingine havielezeki na usivyodhania sivyo kumbe ndivyo au tuseme ndivyo sivyo kama Prof Jay.
 
Hapa Ndipo Ninapomkubali Aliyepata Kunena ''information Is Power''.nashangaa Hata Wale Niliokuwa Nawaamini Kuwa Watakuwa Chachu Sasa Ghafla Si Wenzetu Tena.naumia Sana Kuona Watu Wangu Wanapotea
 
Kitaeleweka hela zikirudishwa na washashi kufungwa.
 
..kitaeleweka mkiiona/ikionekana maiti!

kuna namna nyingi ya kupata habari hapa US...

Mengine kwa sasa yanafanywa siri ili mafisadi wasijue na niwashtushe hadi washangae. Kwa sasa mie naamini kuwa Balali amekufa na sidhani kama ninakosa uzalendo kwa kufanya hivi. Ikigundulika kuwa Balali yuko hai, nitakuwa wa kwanza kusema hapa JF kwa FONT size kama 40 hivi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom