Unajua ni ujuha sana kubadili majina lakini ukashindwa kubadili maneno, mkuu Sam toka uanze na majina yako imefikia mahali ni aibu, ninajaribu sana kukuwepa kwa sababu zote unazijua, na majuzi tu ukitumia jina lako la Chief umenitumia PM ukiomba msaada, halafu wewe tena una maneno haya? Hivi nikwambie lugha gani mkuu ili uweze kuachana na mimi na familia yangu? Inaelekea maneno ya thanks yanakuumiza sana na umaarufu wa watu hapa ambao wewe umeulilia lakini umeshindwa kabisa kuupata hapa na majina ayko yote karibu 50, wewe unajua heshima wewe juha? Eti unajua maana ya binadamu kuheshimika wewe? Wewe unajua maana ya heshima? Ulifikiri unanidanganya na hili jina kwamba sijui wewe ni nani? Mkuu usinichezee na hasa kuhusu heshima nitaweka mambo yako hapa JF uaibike wewe, yale maneno uliiyoyaandika kuhusu Ipyana, kwa jina la Achebe, ninayo mkuu na nilishayafikisha tayari, the day is coming very close hutaamini kinachokuja, now shut up!
Wakuu wengine huko juu nimewasikia, na ninawatakia mafanikioa makubwa hapa JF, ila mimi ndiye Field Marshall ES original na sina wasi wasi na shallow minds hata siku moja, kama mlivyoji-display hapo na maneno yenu na majina yenu, mimi huwa ni jina moja tu na huwa ninaweka vitu vizito, hapa tuna demokrasia ya kweli, yaani kukubali ya mwingine na kukataa ni kawaida, ila huwa tunaktaa kwa hoja na sio upumbavu, hapa JF hajwahi mtu kulazimsihwa kukubali au kukataa, isipokuwa tu ni magi magoi wa akili ndio huwa kazi kulia lia huku wakiwa hawana ukweli, hoja, facts wala dataz, I am not impressed na hizo njama zenu kwa sababu kwenye hoja nzito mmeshindwa, tena kwa aibu kubwa sana, sasa naona mnajaribu kutafuta remedy kwa njia tofauti na zinazokubalika hapa JF, za hoja kujibiwa kwa hoja, naona sasa mnaleta viroja,
Unajua niliwahi kukaaa sana Kinshasa Kwa kilingala, mimi ninaitwa...." Kokobanga na kokobanga wa kokobanga" yaani Muzee wa Bazeee na wa Bakulutu kwa hiyo karibuni hapa JF tuendele kukata ishus, kuhusu kifo cha Balali, nimetoa dataz za kutosha na nimeamua kuacha na hamuwezi kufanya anything zaidi tu ya kulia lia, mimi siwezi kwenda kumpigia mtu picha hapa, nikupe dataz halafu nikakupigie picha? Ila punguzeni kulia lia kama watoto wa dogo hapa JF ni ya watu wazima.
Ahsanteni Wakuu na Nimewasikia, I hope mmenisikia pia! Lakini hata siku moja hamnistishi wala siwaogopi hata muwe watu millioni moja nitaendelea kuwapiga kwa dataz na hoja nzito!