KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
Basi kama hayo ndio maoni yako then waombe waungwana waufunge mjadala.
Quote:- Internet
Senator Kennedy, cancer diagnosis/Brain cancer, admitted at Mass. General Hospital in Boston. Out of the the hospital, his doctors are weighing Chemotherapy and Radiation Treatments. No futher annoucemment.
source: Mass. General Hospital, Boston Massachusetts State.
Quote: Internet
According to a death certificate first obtained in the internet iconic actor Charlton Heston's official cause of death was pneumonia.
According to his death certificate, a public document, Heston's immediate cause of death was pneumonia. In 2002, the actor acknowledged he suffered from Alzheimer's.
Dakika tano zilizopita nimefanikiwa kupata dataz za ukweli 100% kuwa kweli Balali, amefariki napenda kutoa pole kwa ndugu,
According to the dataz amefia DC, nyumbani kwake ghafla Jumapili usiku.........!
Na the more dataz ni kwamba kabla hajafa, alikuwa na masaa kama 24 ya siri kwa mazungumzo na Mbunge Mkono.......,
Mazishi ni kesho DC, nitarudi baadaye kwa dataz zaidi!
Ahsante Wakuu, na Mods Mnaeza kuiunganisha hii ikiisha expire!
The Following 30 Users Say Thank You to Field Marshall ES For This Useful Post:
Alnadaby (23rd May 2008), AMETHYST (23rd May 2008), araway (23rd May 2008), Augustoons (23rd May 2008), Bubu ataka kusema (22nd May 2008), Bubu Msemaovyo (23rd May 2008), choveki (23rd May 2008), COMRADE44 (23rd May 2008), fidel80 (23rd May 2008), Heraclitus (23rd May 2008), ibambasi (23rd May 2008), Invincible (23rd May 2008), kamakabuzi (24th May 2008), kamonga (23rd May 2008), Kinyamana (23rd May 2008), Kocha (23rd May 2008), korosho (23rd May 2008), Kuntakinte (22nd May 2008), lazydog (23rd May 2008), M-bongo (23rd May 2008), Mkandara (22nd May 2008), Mtanzania (22nd May 2008), mwafrika wa kike (22nd May 2008), nhonyaane (23rd May 2008), Nurujamii (23rd May 2008), Nyangumi (22nd May 2008), ochu (23rd May 2008), Tanzania 1 (23rd May 2008), Typical (23rd May 2008), Yebo Yebo (23rd May 2008)
Mi hata sijui watu mnabishana nini kwenye hii thread. Y'all have lost me.....
Unajua ni ujuha sana kubadili majina lakini ukashindwa kubadili maneno, mkuu Sam toka uanze na majina yako imefikia mahali ni aibu, ninajaribu sana kukuwepa kwa sababu zote unazijua, na majuzi tu ukitumia jina lako la Chief umenitumia PM ukiomba msaada, halafu wewe tena una maneno haya? Hivi nikwambie lugha gani mkuu ili uweze kuachana na mimi na familia yangu? Inaelekea maneno ya thanks yanakuumiza sana na umaarufu wa watu hapa ambao wewe umeulilia lakini umeshindwa kabisa kuupata hapa na majina ayko yote karibu 50, wewe unajua heshima wewe juha? Eti unajua maana ya binadamu kuheshimika wewe? Wewe unajua maana ya heshima? Ulifikiri unanidanganya na hili jina kwamba sijui wewe ni nani? Mkuu usinichezee na hasa kuhusu heshima nitaweka mambo yako hapa JF uaibike wewe, yale maneno uliiyoyaandika kuhusu Ipyana, kwa jina la Achebe, ninayo mkuu na nilishayafikisha tayari, the day is coming very close hutaamini kinachokuja, now shut up!
Wakuu wengine huko juu nimewasikia, na ninawatakia mafanikioa makubwa hapa JF, ila mimi ndiye Field Marshall ES original na sina wasi wasi na shallow minds hata siku moja, kama mlivyoji-display hapo na maneno yenu na majina yenu, mimi huwa ni jina moja tu na huwa ninaweka vitu vizito, hapa tuna demokrasia ya kweli, yaani kukubali ya mwingine na kukataa ni kawaida, ila huwa tunaktaa kwa hoja na sio upumbavu, hapa JF hajwahi mtu kulazimsihwa kukubali au kukataa, isipokuwa tu ni magi magoi wa akili ndio huwa kazi kulia lia huku wakiwa hawana ukweli, hoja, facts wala dataz, I am not impressed na hizo njama zenu kwa sababu kwenye hoja nzito mmeshindwa, tena kwa aibu kubwa sana, sasa naona mnajaribu kutafuta remedy kwa njia tofauti na zinazokubalika hapa JF, za hoja kujibiwa kwa hoja, naona sasa mnaleta viroja,
Unajua niliwahi kukaaa sana Kinshasa Kwa kilingala, mimi ninaitwa...." Kokobanga na kokobanga wa kokobanga" yaani Muzee wa Bazeee na wa Bakulutu kwa hiyo karibuni hapa JF tuendele kukata ishus, kuhusu kifo cha Balali, nimetoa dataz za kutosha na nimeamua kuacha na hamuwezi kufanya anything zaidi tu ya kulia lia, mimi siwezi kwenda kumpigia mtu picha hapa, nikupe dataz halafu nikakupigie picha? Ila punguzeni kulia lia kama watoto wa dogo hapa JF ni ya watu wazima.
Ahsanteni Wakuu na Nimewasikia, I hope mmenisikia pia! Lakini hata siku moja hamnistishi wala siwaogopi hata muwe watu millioni moja nitaendelea kuwapiga kwa dataz na hoja nzito!
Mimi ni mgeni hapa,kwa kweli wewe Mkuu ni mgomvi!au jamiiforums ndo kawaida yenu?yaani kitendo cha kwenda "kukoti"Thanks na kutafuta wabaya wako ni ajabu kweli!pia kitendo cha kutuhumu watu wanabadili majina sio vizuri!kila siku naamini watu wanajiunga hapa!pia kusema unaonewa wivu this is nonsenses kwa kweli!Mkuu jirekebishe let us discuss ideas na sio kutafuta kila siku wanafiki as you call them!As far as i know "Stupid minds ndo zinadiscuss events kwa mfano ilikuwa hivi fulani hivi!Kweli kama ndo hivi WATANZANIA TUTAFIKA KWELI?kumuita mtu mnafiki pindi anapokuwa hakubaliani na mawazo yako why this?let us chill kwa furaha tuelimishane na kupendana ili tuikomboe nchi yetu kutoka katika umaskini na matatizo mengine!Kwa kweli im sad na majibizano yasiyokuwa na maslahi katika Taifa letu!kubali kuwa challenged!we are humanbeings hivyo we are not perfect!Tusikubali kuendekeza ujinga wa kuitana wanafiki!kama ni UNAFIKI sisi sote ni wanafiki maana badala ya kudiscuss ideas tunaanza kurumbana sisi kwa sisi!Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!
Mkuu Mushi,
Mkuu mushi, tizama unafiki wa mkuu flani hapa, aliyekuwa akilalalmikia wengine kupewa thanks, angalia kwenye mistari ni yeye huyo huyo mnafiki mkubwa, halafu anaongelea heshima kama vile anaijua maana yake!
Mimi ni mgeni hapa,kwa kweli wewe Mkuu ni mgomvi!au jamiiforums ndo kawaida yenu?yaani kitendo cha kwenda "kukoti"Thanks na kutafuta wabaya wako ni ajabu kweli!pia kitendo cha kutuhumu watu wanabadili majina sio vizuri!kila siku naamini watu wanajiunga hapa!pia kusema unaonewa wivu this is nonsenses kwa kweli!Mkuu jirekebishe let us discuss ideas na sio kutafuta kila siku wanafiki as you call them!As far as i know "Stupid minds ndo zinadiscuss events kwa mfano ilikuwa hivi fulani hivi!Kweli kama ndo hivi WATANZANIA TUTAFIKA KWELI?kumuita mtu mnafiki pindi anapokuwa hakubaliani na mawazo yako why this?let us chill kwa furaha tuelimishane na kupendana ili tuikomboe nchi yetu kutoka katika umaskini na matatizo mengine!Kwa kweli im sad na majibizano yasiyokuwa na maslahi katika Taifa letu!kubali kuwa challenged!we are humanbeings hivyo we are not perfect!Tusikubali kuendekeza ujinga wa kuitana wanafiki!kama ni UNAFIKI sisi sote ni wanafiki maana badala ya kudiscuss ideas tunaanza kurumbana sisi kwa sisi!
Nawasilisha NG'WALU!
Nawe utaambiwa ni SAM alie badili jina
Kwanza kunamtu hapa JF anaepewa Thanks kama MWkjj??? ina maana ndio anaongea points siku zote?? lkz kuna siku anachemsha yeye ni binadamu, kwanza wengi tuu walikuwa walumbana nae kwann yeye ndo aanza kuwa mkali?? ok sasa ndo tuseme hataki pia kuambiwa aaache kulumbana????
pia kusema unaonewa wivu this is nonsenses kwa kweli!Mkuu jirekebishe let us discuss ideas
Okay,Mkuu hivi kweli watu wanaojua ku-discuss ideas umeshawaona kwenye hii topic? Wewe mwenyewe una-discuss ujuha halafu unaongelea ideas? Hivi mbona mnazidi kujiabisha? Mnacholilia hasa sielewi eti ni nini wakuu?
Mnataka nikubali mniburuze? Mwanakijiji sio mimi naona mnajaribu ku-divide and rule kwa kurusha jina la mkulu wangu MMJ, unajua watoto huwa wana akili za kitoto, grow up vijana acheni kulia lia hapa wanaume tuko kazini!
Mkuu hivi kweli watu wanaojua ku-discuss ideas umeshawaona kwenye hii topic? Wewe mwenyewe una-discuss ujuha halafu unaongelea ideas? Hivi mbona mnazidi kujiabisha? Mnacholilia hasa sielewi eti ni nini wakuu?
Mnataka nikubali mniburuze? Mwanakijiji sio mimi naona mnajaribu ku-divide and rule kwa kurusha jina la mkulu wangu MMJ, unajua watoto huwa wana akili za kitoto, grow up vijana acheni kulia lia hapa wanaume tuko kazini!
Just pure nonesense! Eti umemuona Chenge kwenye Bar wakati Chenge bado yuko London, kweli nimekuaminia kwa dataz mkuu!
we kweli kaka wa ajabu sana hivi wenzio tusiongeee.... mi sina uhuru wa kusema nimemuona chenge Hunters???? hahahahaha..... na zakaria nae alipigiwa simu nae muongo????? mbona kilakitu unataka kujua wewe tuu na usema wewe kijana??? kwani chenge hawezi kuwa amerudi toka London muda wote toka imetangazwa maana mi nimemuona jmosi usiku????
Mkuu chenge wakati anaondoka aliaga na akaondoka, hivi amerudi lini? Maana Chenge hawezi kuwa mahala ukamuona wewe tu. Halafu hata na kutoka Airport mpaka nyumbani kwake tena mpaka kwenye Baa, kweli asionwe na mtu yeyote?
Mkuu na mimi unanifanya sasa nipoteze imani na wewe. Ngoja labda kuna mwingine atakuwa amemuona maana wewe tu ndiye uliyepata simu kutoka kwake, pia inaonekana ndiye unayemuona hapa bongo.