Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #101
Manta, she, manzi, aisee😂🤣Unamaana gani na maneno yako ya kichochoroni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manta, she, manzi, aisee😂🤣Unamaana gani na maneno yako ya kichochoroni?
Nikitumia hayo maneno kwake atashangaa hiyo siku,atahisi nimekunywa ulabu.Manta, she, manzi, aisee😂🤣
Hiyo ni rejesta tu, huwezi muita yeye hivyo😂🤣Nikitumia hayo maneno kwake atashangaa hiyo siku,atahisi nimekunywa ulabu.
Omba Mungu Sana iwe both partner to score na both partner to win both halves or else hii inaitwa single partner to win and other kukuzoom tu 😅Ulikuwa wapi mbona ume chelewa??, I looked for you kila Kona ila siku ambulia kitu!!?
I even asked majirani ila nao hawakuwa na jibu la kunipa, zaidi ya pole (damn).
Sorry about that day, nawe uli zidi ujue, sometimes stick to my rules kwani mi ndo bread chaser.
You know we are cool together, shida uli dhani kuwa independent ni rahisi ehh!!
No one cares for you than I do, and najua una jua hilo.
siku chache tu, ila tayari Usha Anza kuumwa, hope Utakuwa ume jifunza.
Haya ume Rudi mwenyewe, utulie Sasa .
I mean no malice to nobody
View attachment 2958087
Mimi mwenyewe kanishtua aisee.! Hopeful jamaa yetu malinda yapo salama.Dah Mkuu! we mwanaume ujue😔
Mzee tuheshimiane basi, kufuga mnyama nayo ni tatizo??Mimi mwenyewe kanishtua aisee.! Hopeful jamaa yetu malinda yapo salama.
Aisee hatarii sana 🤣😀🤣🤣🤣🤣🤣 alimiss akili za
Izo ni pigo za wakina dadaMzee tuheshimiane basi, kufuga mnyama nayo ni tatizo??
sheria ya wapi hiyo mkuu??Izo ni pigo za wakina dada
Wanyama ni marafiki zangu wakubwa, sometimes huwa nahisi nawa elewa wanacho fanya ama kuongea.Hongera kwa kupenda wanyama...napenda sana paka na mbwa.,,.paka wangu anaitwa Nana ni mtulivu sana😍
Yeah...tena ni wazuri zaidi wakiwa na furaha kucheza nao...vimbuzi vitoto ndo navipenda zaidi...ujanja mwingii🥴Wanyama ni marafiki zangu wakubwa, sometimes huwa nahisi nawa elewa wanacho fanya ama kuongea.
Yap ni kweli pia, Nina karungu yeye una mjua??Yeah...tena ni wazuri zaidi wakiwa na furaha kucheza nao...vimbuzi vitoto ndo navipenda zaidi...ujanja mwingii🥴
umechelewa sana albin
Namsikia tu labda nimsearchYap ni kweli pia, Nina karungu yeye una mjua??