akilinzuri
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 387
- 424
SiuoniTayal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SiuoniTayal
Hivi hao malaya wa chuo huwa mnawaokota okotaga wapi? Huyo alikuwa malaya tu. Tabia ni kama ngozi haibadiliki, nadra sana.2019 tulikorofishana na mke wangu akawa ameenda kwao nikamfata akagoma
Tukatuma ndg mpk wazee akakataa hataki ndoa hii tena(wife ana gubu na me ni mkurya mkorofi so ilitupa shida sana kwenye ndoa) hapo tulikuwa na 3yrs na mtoto mmoja
Huo uwezo wake utaupima vipi wewe?Siyo kwamba umeduwaa. Bali uliona huna ubavu wa kupambana naye.
Mtu aingie kwa mwanamke wangu, ampige makofi. Nijidai kuzubaa? Aisee, atakula ngumi za kutosha.
Na huu ndo ukwl.. na ndomana sjawai kuwa na msamaha na demu mim.. kosa dogo lazima apigwe chin.. hata wakipita 100 fresh tuMwanamke kama hakupendi hata umfanyie nini atakupiga matukio tu
Hata mm naona hii ni chaiImekosa tangawizi na mdalasini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2159858
Maana yake hapo ametuambia alienda kuoa kisha akarudi na mke mjini akampangia apartment na yeye akaenda kuishi kwingine.
Sidhani kama ni chai au kahawa, Maelezo yaonyesha ni tukio la kweli.
Mwanzo hukuandika hivi kwahiyo usilazimishe chai yako kuwa mtori.Rud usome upya sikumuoa bali nililipa fain sababu ya kumpa ujauzito binti yao kisha nikapewa jukum la kusimamia elim yake mpk akimaliza ndo mambo ya ndoa yaanze
Kabla alikuwa anakaa kwangu but aliporud na mimba akaomba nimpangie karb na chuo maana kwangu ni nje ya mji kdg
Mbona kawaida tu.Duuh,Sherehe ilifanyika ya Nini sasa ,Demu akaomba kupangiwa wakati Sherehe ilifanyika na washakubaliana kuishi pamoja kama Mke na Mme.
Ukitaka amani endelea kula mizoga ya barabarani aka machangu.Kuna wanaume wana moyo sana mimi moyo wa muundo huo sina napenda muda wote moyo wangu uwe na amani mimi
Mbona kawaida tu. Mwanamke anaweza asitake kuishi kwenye nyumba ambayo mke mkubwa anaweza kurudi wakati wowote. Anahitaji uhuru wa kuwa na sehemu yake.
Mzee mm tatizo huwa linakua chaji tu [emoji1][emoji1][emoji1] mwaga vitu, maana wengine hili jukwaa ndio tunalitumia Kama kilinge Cha kula storyBando lako la 24 hrs linakaribia ku expire au?[emoji38][emoji38]
Maana hapo ngoja kwanza ncheke.Inawezekana hii habar n ya kweli ila CHAI n nyng sana...askari hawezi kufukuzwa kazi eti kisa anapelekwa mahakaman kwa ugomvi wa kawaida hvyo