Hatimaye nimeachana na mchepuko wangu

Status
Not open for further replies.
Popcorn za 10,000 mkononi...
 
Inawezekana hii habar n ya kweli ila CHAI n nyng sana...askari hawezi kufukuzwa kazi eti kisa anapelekwa mahakaman kwa ugomvi wa kawaida hvyo
Ndo hapo naposhangaa mie jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi ngoja niulize yawezekana Mimi ni maamuma sijui lolote juu ya mapenzi, Mwanaume unaweza ukamkuta demu ana Bwana kama 50 anawadanga anakunywa pombe, club zote anaenda hapafu wewe ukambadilisha akawa mtu poa tu wa kufaa kuolewa demu wa chuo? Hivi huwa mnapendaje jamani mtupe notes wengine huku back benchers
 
Pole Sana mkuu,
Kunantatizo mahali[emoji848]
 
Ama kweli Kwenye miti hakuna wajenzi!
Vice versa is true!

Ukitulia unakutana na vituko,ukiwa hujatulia unakutana na watu wa maana!
Duh ,maisha hayako fair!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwendelezo mkuu, hatukosi la kujifunza wadogo zako.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…