khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,141
- 1,057
Apo kwenye "miaka mi5"...kuna tafiti unazo ama n uzoefu tu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umeona.Utabiri: Huu uzi utakimbia kwa kasi ya 5G
Umeonaee mzee baba mambo hayoKaka endelea kukaza hapohapo tayari uwanja umeinama, refa wako mashabiki wako ushindwe mwenyewe..
Kwa kweli ana zuga tu hajaacha huyu [emoji16]Mwaka mzimaaa??? Ushakuwa mzoefu ww.Huwa inachukua siku 21 kuzoea unpleasant situation. So jiandae kutoa au kuombwa zaidi.
Hawezi kuacha anazingua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hujaacha wewe tuondolee upumbavu wako hapa wa kupiga promo mambo ya kichoko
Nasubiri jibu [emoji1787]Utam ulikuwa unapata ukiwa unafanywa nyuma??? VIP utam huo ukilingansha na wa mbele upi Ni mwing Zaid ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ungenijua the way am positive (and real) hata usingeandika hiki.
Ni vile wegine hatu entertain unafiki unafik tunapima facts mbona ziko wazi..probably umri wako bado umekunyima experience ila if u open ur eyes bila kupepesa macho huyu mtu anatudanganya
A whole year unafanya ufiraun huu kumwacha ulikua unaogopa nini!?
Serious women / girls wasiopenda mambo hayo kitendo cha kuyagusia tuu basi mtagombana na mtaachan on spot without a notice.
Punguzen unafiki in the name of being positive
Hajaacha muongo huyu mwaka mzima aliwe 0712 halafu aache thubutuu kapumzika tu time will tell [emoji1787]Pole sana
Unajutia mchezo huo halafu BADO UNASEMA "MCHEZO HUU HAULETI MADHARA MPAKA UWE MZOEFU WA MIAKA 5"
HUONI KUWA KAULI HIYO INAHAMASISHA WENGINE KUJARIBU?
Hongera kwa kuacha. Endelea kumwomba Mungu na uamue kuacha kwelikweli maana MUNGU HAJARIBIWI
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Me kama nimekuelewa hivi hii point yako.As long as wote walipenda ku enjoy kihivyo sio big issue. Halafu wadada walio wengi ndo wana entertain hii kitu talking from mdada niliwahi kutana naye 3year ago.Aisee nilitetemeka aliponiambia,halafu nilipotea mazima.Akaniita me mshamba.
[emoji16]Weka video fupi
[emoji22][emoji1787]Uzi una nzi kibao huu.
Changamoto, shida kuna watoto wa kike nao wanapenda hiyo michezo sijui itakuajeMimi kuna mjinga niliachana naye sababu nilikuja kuhisi kama anamtembezea mtu tope. Tena alikuwa mume wangu wa ndoa. Kila siku UTI haziishi mpaka Dr. Kaniuliza kuna mambo wewe au mume wako anafanya. Baada ya kuachana naye, UTI zikaisha loh
Asante sana kwa ushuhuda, Mungu ni mwaminifu amekushindia na atakushindia daima.Habarini wana JF,
Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.
Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.
Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.
Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.
Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.
Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.
Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.
Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.
Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Yaani wale ma ex wanao tuacha kwa jeuri wakirudi ndo tunawafanyia sodoma na gomora maana kampelekea jamaa kaichakaza halafu anarudi tena hyo ndo dawa yao lazima tuzibue choo nani anakula makomboYeah hili lipo wazi wanaume Huwa hatuwali 0713 wanawake ambao ni future wife zetu
[emoji1787][emoji1787]Unafki ndo asili yenu mana huwez kuta mdada yyte kwenye mitandao anasema analiwa tigo wakat kitaan weng tu wanapenda kuliwa tigo
[emoji1787][emoji1787]Nicheki PM au Nikucheki?
Kizuri kula n nduguzo