Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
InawezekanaBelieve me kuna watu wanapiga mbupu zaidi ya pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InawezekanaBelieve me kuna watu wanapiga mbupu zaidi ya pale.
Kabisa sio lazima kila kitu kujaribu mana hakuna faida mmbadala utayopata kama ni kumwaga utamwaga shahawa zile zile tu hata umwingilie kinyume na maumbileWanaume kumbukeni mna mabinti mna watoto wa kiume pia. Laana husambaa leo ukimfanyia mkeo au mdada mwingine kwa kufosi na kuona ni sawa jaribu kuwaza mtt wako au binti yako na yy aolewe na mwanaume kama baba yake awe anamwingilia kinyume au mtoto wa kiume afanyiwe na baba mwingine ambae humu anaona hiko kitendo ni sawa tuu mtajisikiaje? Kwanini ujaribu kila kitu?
Sidhani kama usipojaribu au kufanya baadhi ya mambo itaondoa uanaume wako bali itakupa hata kibali mbele za Mungu uiombeapo familia yako dhidi ya haya madhila ya dunia hii Mungu akakusikiliza na kuponya kizazi chako.
Mzee wa chura mambo yako hayo [emoji23][emoji23][emoji23]......................"ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma"[emoji16][emoji16][emoji16]
Tatizo utamu....ndio maana wanajaribu.Aiseee kwanini ukubali at first place? Ulikua unabembeleza ndoa au? Halafu hii kitu ni kama wanaume wasiojielewa wanaigana igna huko yani tuu ilimradi na yy ajaribu. Wanawake nao sijui ni upoyoyo sijui wengine ni kutaka kupendwa eti asiachike unampa tako kweli???
Mgenkuwa napinga uzinzi na kugegedwa kabla ya ndoa kama mnavyopinga kufumuliwa marinda tungekuwa na watu wa maana sana duniani. Lakini kwenye kugegeduana kabla ya ndoa tunaona poa tuu.Wanaume kumbukeni mna mabinti mna watoto wa kiume pia. Laana husambaa leo ukimfanyia mkeo au mdada mwingine kwa kufosi na kuona ni sawa jaribu kuwaza mtt wako au binti yako na yy aolewe na mwanaume kama baba yake awe anamwingilia kinyume au mtoto wa kiume afanyiwe na baba mwingine ambae humu anaona hiko kitendo ni sawa tuu mtajisikiaje? Kwanini ujaribu kila kitu?
Sidhani kama usipojaribu au kufanya baadhi ya mambo itaondoa uanaume wako bali itakupa hata kibali mbele za Mungu uiombeapo familia yako dhidi ya haya madhila ya dunia hii Mungu akakusikiliza na kuponya kizazi chako.
HahahahhaNimeishia hapo Nina kipato kizuri hata nikipata watoto naweza kuwalea.
Stop that nonsense Olewa.
Usiendekeze utamu mkuuTatizo utamu....ndio maana wanajaribu.
Huo ndio ukweli wakati kama sikosei mama D aliweka andiko akisema wazinzi na wafuraji wote hawatarithi ufalme wa mbinguni. So dhambi zote hizi adhabu yake ni moja hivyo zinabeba uzito ule ule.
Mbona wanao endekeza utamu wa kugeggedana kabla ya ndoa hamuwapigi kelele kama hawa wanaokula marindaUsiendekeze utamu mkuu
Basi kila mtu abaki na dhambi zake tusilazimishane kufanya dhambi ambazo kwetu tunaona moto uleeMgenkuwa napinga uzinzi na kugegedwa kabla ya ndoa kama mnavyopinga kufumuliwa marinda tungekuwa na watu wa maana sana duniani. Lakini kwenye kugegeduana kabla ya ndoa tunaona poa tuu.
Sasa unalinganisha hizo dhambi? Si umesoma bilblia lakini unajua unachokitetea kiliwafanya nini wana wa sodoma na gomora?Mbona wanao endekeza utamu wa kugeggedana kabla ya ndoa hamuwapigi kelele kama hawa wanaokula marinda
Huyo dada hajalazimishwa....ametaka.Basi kila mtu abaki na dhambi zake tusilazimishane kufanya dhambi ambazo kwetu tunaona moto ulee
Kama hukumu ya hizo dhambi ni sawa basi maana yake zinabeba uzito ule uleSasa unalinganisha hizo dhambi? Si umesoma bilblia lakini unajua unachokitetea kiliwafanya nini wana wa sodoma na gomora?
Kabisa mwaka mzima jamani? Hata kama ulikua unalazimishwa ila nadhani angelazimishwa ingekua labda siku moja kesho yake angesepa kabisa. Alipend na sidhani kama ataacha. Na siku ya kuzaa sijui itakuwaje labda ndo hawa wamejipanga ni visu tuu. Madai yao eti hawataki papuchi iwe kubwaa nani kasema papuchi inakua kubwa.Huyo dada hajalazimishwa....ametaka.
Mbona wadada wengine tumejaribu kuwafukua tope tunazabuliwa kibao mwenyewe unavaa suruali yako na mahusiano yanaishia hapo. Huyu alipenda.