Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Wanaume kumbukeni mna mabinti mna watoto wa kiume pia. Laana husambaa leo ukimfanyia mkeo au mdada mwingine kwa kufosi na kuona ni sawa jaribu kuwaza mtt wako au binti yako na yy aolewe na mwanaume kama baba yake awe anamwingilia kinyume au mtoto wa kiume afanyiwe na baba mwingine ambae humu anaona hiko kitendo ni sawa tuu mtajisikiaje? Kwanini ujaribu kila kitu?

Sidhani kama usipojaribu au kufanya baadhi ya mambo itaondoa uanaume wako bali itakupa hata kibali mbele za Mungu uiombeapo familia yako dhidi ya haya madhila ya dunia hii Mungu akakusikiliza na kuponya kizazi chako.
Kabisa sio lazima kila kitu kujaribu mana hakuna faida mmbadala utayopata kama ni kumwaga utamwaga shahawa zile zile tu hata umwingilie kinyume na maumbile
 
......................"ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma"[emoji16][emoji16][emoji16]
Mzee wa chura mambo yako hayo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaaan apa Kuna wapingaji na wasapotazi waliji Jambo [emoji16][emoji16][emoji16]

Chaku shangaza kila upande una point zenye mashiko

Japo awa wapingaji wanna ng'ang'ana dini dini dini dhambi dhambi ... Mazee dhambi n dhambi Alie dokoa nyama na mla [emoji2398] nyote sawa mbele za Mungu [emoji848][emoji848].. Et lkn Sina uhakika na hili...

Pili lawama nying Zina waangukia wanaume kuonekan ndo chachu ya hili swala.. mi nadhani hili nalo Lina ukakasi .. utafiti usio sahihi

La tatu tukubaliane tu haya Mambo yali kuepo tangu enz ni vile tu haya kupamba Moto au kusika hadharan ... Pia utandawiz unapeleka kasi VIJANA wa KILEO

All in all wacha nikajaribu ntaleta ripoti yang ikiwa Ni jema au laah ..

Nawasilisha. Makamanda in charge officer is reporting on duty...[emoji63][emoji63]
 
Aiseee kwanini ukubali at first place? Ulikua unabembeleza ndoa au? Halafu hii kitu ni kama wanaume wasiojielewa wanaigana igna huko yani tuu ilimradi na yy ajaribu. Wanawake nao sijui ni upoyoyo sijui wengine ni kutaka kupendwa eti asiachike unampa tako kweli???
Tatizo utamu....ndio maana wanajaribu.
 
Wanaume kumbukeni mna mabinti mna watoto wa kiume pia. Laana husambaa leo ukimfanyia mkeo au mdada mwingine kwa kufosi na kuona ni sawa jaribu kuwaza mtt wako au binti yako na yy aolewe na mwanaume kama baba yake awe anamwingilia kinyume au mtoto wa kiume afanyiwe na baba mwingine ambae humu anaona hiko kitendo ni sawa tuu mtajisikiaje? Kwanini ujaribu kila kitu?

Sidhani kama usipojaribu au kufanya baadhi ya mambo itaondoa uanaume wako bali itakupa hata kibali mbele za Mungu uiombeapo familia yako dhidi ya haya madhila ya dunia hii Mungu akakusikiliza na kuponya kizazi chako.
Mgenkuwa napinga uzinzi na kugegedwa kabla ya ndoa kama mnavyopinga kufumuliwa marinda tungekuwa na watu wa maana sana duniani. Lakini kwenye kugegeduana kabla ya ndoa tunaona poa tuu.
 
Nyie ndio mnaoona kuzini (ngono kabla ya ndoa) si dhambi kubwa, ila kula tigo ndio dhambi kubwa Lovelovie Kalpana
Huo ndio ukweli wakati kama sikosei mama D aliweka andiko akisema wazinzi na wafuraji wote hawatarithi ufalme wa mbinguni. So dhambi zote hizi adhabu yake ni moja hivyo zinabeba uzito ule ule.
 
Mgenkuwa napinga uzinzi na kugegedwa kabla ya ndoa kama mnavyopinga kufumuliwa marinda tungekuwa na watu wa maana sana duniani. Lakini kwenye kugegeduana kabla ya ndoa tunaona poa tuu.
Basi kila mtu abaki na dhambi zake tusilazimishane kufanya dhambi ambazo kwetu tunaona moto ulee
 
Mbona wanao endekeza utamu wa kugeggedana kabla ya ndoa hamuwapigi kelele kama hawa wanaokula marinda
Sasa unalinganisha hizo dhambi? Si umesoma bilblia lakini unajua unachokitetea kiliwafanya nini wana wa sodoma na gomora?
 
Basi kila mtu abaki na dhambi zake tusilazimishane kufanya dhambi ambazo kwetu tunaona moto ulee
Huyo dada hajalazimishwa....ametaka.
Mbona wadada wengine tumejaribu kuwafukua tope tunazabuliwa kibao mwenyewe unavaa suruali yako na mahusiano yanaishia hapo. Huyu alipenda.
 
Sasa unalinganisha hizo dhambi? Si umesoma bilblia lakini unajua unachokitetea kiliwafanya nini wana wa sodoma na gomora?
Kama hukumu ya hizo dhambi ni sawa basi maana yake zinabeba uzito ule ule
 
Huyo dada hajalazimishwa....ametaka.
Mbona wadada wengine tumejaribu kuwafukua tope tunazabuliwa kibao mwenyewe unavaa suruali yako na mahusiano yanaishia hapo. Huyu alipenda.
Kabisa mwaka mzima jamani? Hata kama ulikua unalazimishwa ila nadhani angelazimishwa ingekua labda siku moja kesho yake angesepa kabisa. Alipend na sidhani kama ataacha. Na siku ya kuzaa sijui itakuwaje labda ndo hawa wamejipanga ni visu tuu. Madai yao eti hawataki papuchi iwe kubwaa nani kasema papuchi inakua kubwa.
 
Back
Top Bottom