Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Habarini wana JF,

Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.

Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.

Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.

Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.

Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.

Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.

Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.

Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.

Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Kwaiyo hauna marinda?
 
Hicho kitu sio kitu kibaya kama unavyosema,ila kinakuwa kibaya kama huyo jamaa alikuwa anakulazimisha.

Wala hata usijari sjui mwanaume utakae kutana nae atakuchukuliaje,ni kwamba kama mtu amekupenda hata akigundua inabaki kuwa siri yake tu moyoni,mimi mara nyingi huwagundua ambao wameshaingiliwa ila huwa napiga kimya tu
Unawagunduaje mjuvi?
 
Habarini wana JF,

Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.

Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.

Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.

Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.

Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.

Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.

Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.

Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.

Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Hongera kwa kuchukua uamuzi huo, kuumia tu hakutoshi, unapaswa kutubu mbele za Mungu, Yesu atakusamehe. Ataondoa mashaka na majuto ndani yako, unayo nafasi ya kumtumikia yeye kwa kuwasaidia wengine waliokwama kwenye mtego huu mchafu.
 
Ungenijua the way am positive (and real) hata usingeandika hiki.

Ni vile wegine hatu entertain unafiki unafik tunapima facts mbona ziko wazi..probably umri wako bado umekunyima experience ila if u open ur eyes bila kupepesa macho huyu mtu anatudanganya

A whole year unafanya ufiraun huu kumwacha ulikua unaogopa nini!?

Serious women / girls wasiopenda mambo hayo kitendo cha kuyagusia tuu basi mtagombana na mtaachan on spot without a notice.

Punguzen unafiki in the name of being positive
Na mimi nakuunga mkono kabisaaaa.....hainiingii akilini for the whole year umefanya halafu leo ndio ushtuke kuwa hutaki na unaachana naye kwa kuwa kuna madhara....labda utuambue kuna sababu nyingine inayofanya unamuacha ila umekuja kujustify maamuzi yako na umeamua kumvua mwenzio nguo na kuonyesha madhaifu yake but let me assure you...WEWE TAYARI NI MLAIBU NA UTAENDELEA KUFANYA TU ONCE AKITOKEA MWANAUME AKAJARIBU KUOMBA UTAMPA NA HATA ASIPOOMBA UTAMTEGESHEA AU UTAMUOMBA WEWE KWA LAZIMA. hiki ndicho kinawafanya mashoga kuendelea kuwa mashoga na fatilia huwa wanaanzaje utanipa majibu
Labda kwa ushauri tu nenda hospitali kapigwe bomba.
 
Na mimi nakuunga mkono kabisaaaa.....hainiingii akilini for the whole year umefanya halafu leo ndio ushtuke kuwa hutaki na unaachana naye kwa kuwa kuna madhara....labda utuambue kuna sababu nyingine inayofanya unamuacha ila umekuja kujustify maamuzi yako na umeamua kumvua mwenzio nguo na kuonyesha madhaifu yake but let me assure you...WEWE TAYARI NI MLAIBU NA UTAENDELEA KUFANYA TU ONCE AKITOKEA MWANAUME AKAJARIBU KUOMBA UTAMPA NA HATA ASIPOOMBA UTAMTEGESHEA AU UTAMUOMBA WEWE KWA LAZIMA. hiki ndicho kinawafanya mashoga kuendelea kuwa mashoga na fatilia huwa wanaanzaje utanipa majibu
Labda kwa ushauri tu nenda hospitali kapigwe bomba.
😂😂😂 mkuu hii comment ulivyoiweka utadhani unanishauri mimi chief ahahahah.
Yan hapo mtu anaweza hisi mimi ndio mtoaji 😆😆
 
Hongera kwa kufanya maamuzi hayo kutoka moyoni na akilini mwako. Hujachelewa bado, japo jitahidi kuwa na msimamo maana utashangaa tena unaangukia mikononi mwa mtu mwenye tabia hizo hizo tena.
 
Back
Top Bottom