kila mtu kuna anachokitaka mkui na kila mtu na starehee yakee'Ama kweli Dunia uwanja wa fujo'.......wenzio wanapambana na afya zao wataachaje pombe,wewe unapambana uwe mlevi!.....utapata unacho kitafuta,usijali kazania unacho amini kwani 'aliwazalo mjinga ndicho kinacho mtokea'.
nashkuruu mkuu kwa kunipa moyooHongera chochea moto zaid utuongezee kodi mkuu.
mkuu mpaka nimekupa likeMwanaume asiyeangalia mpira na kunywa pombe bora avae magauni na sketi tu maana kiumeni hatumuhitaji..
Big up kaka kwa kuwa mwanaume kamili...popote ulipo chukua bia moja hela utalipa mwenyewe
kwanini mauja??Dahh unkoelekea siko
Saafiiii sana'Wakuu nimeleta mrejesho wa uzi wangu niliokuwa naomba ushauri jinsi ya kuanza kunywa Ethanol, kiukweli nimegundua kuna kitu nilikuwa namiss, maana nimeuona ulimwengu ni wa tofautii sanaa kwa sasa, mana home nachelewaa kirudiii, nafanya kazii nikiwa na hang over kitu ambacho sijawahi ki experience kea kwelii
Nipende kuwashukuru wana Jf kwa mawazo yenu mazuri
mzidi kubarikiwa
Wasalaaam
Nashukuru kupata mteja mpya karibu sana grocery kwangu de France upate mvinyo wa kisctsh pureWakuu nimeleta mrejesho wa uzi wangu niliokuwa naomba ushauri jinsi ya kuanza kunywa Ethanol, kiukweli nimegundua kuna kitu nilikuwa namiss, maana nimeuona ulimwengu ni wa tofautii sanaa kwa sasa, mana home nachelewaa kirudiii, nafanya kazii nikiwa na hang over kitu ambacho sijawahi ki experience kea kwelii
Nipende kuwashukuru wana Jf kwa mawazo yenu mazuri
mzidi kubarikiwa
Wasalaaam
Huko uliko semaMimi ?
Wakuu nimeleta mrejesho wa uzi wangu niliokuwa naomba ushauri jinsi ya kuanza kunywa Ethanol, kiukweli nimegundua kuna kitu nilikuwa namiss, maana nimeuona ulimwengu ni wa tofautii sanaa kwa sasa, mana home nachelewaa kirudiii, nafanya kazii nikiwa na hang over kitu ambacho sijawahi ki experience kea kwelii
Nipende kuwashukuru wana Jf kwa mawazo yenu mazuri
mzidi kubarikiwa
Wasalaaam
hahaaa polee sanaa mkuuuDah.... Juzi ndiyo nimeamini kuwa chai ina madhara makubwa kwenye ubongo kuliko pombe.....nilipiga pombe hadi SAA 10 usiku nikarudi home niko poa tu....nikamkuta dem wangu aliyekunywa chai kavunjavunja kila kitu.....akapiga kelele hadi majirani wakaamka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]