Hatimaye nimechumbiwa


Mikwaju kutoka kwa CAG [emoji23][emoji23][emoji23]

Anatakiwa kuleta pasword ili PM yake ikakaguliwe zaid
 
Hii ni zaidi ya riport ya CAG, kumbe ana madudu mengi hivo😀😀
 

Duh! Atkw na ishu za kisaikolojia maskini!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] alikuwa anakesha kuangalia porn. Ila leo anaulizwa kuhusu xvid na xxn anasema hazijui
Jamani tumwache tu labda atatuli na kubadilika baada ya kuwa engaged 😀 ilikua ni mapito tu
 
Siku ya jana nmekua engaged. I'm so happy and so is my family. Nahisi kama sipo juu ya dunia nahisi nimeingia ndani ya dunia kwa furaha nliyo nayo. I can talk about it forever. Nataka nweke hta picha ya mkono lakn naogopa. Nina furaha sna leo.

Munapenda sana kuiga mambo ya kibeberu,,,mbongo na beberu wapi na wapi! Mwisho wa siku unaishia kuosha vyombo na kudeki maisha yanaenda
 
Hawezi kuwa sawa huyu mwana jf mwenzetu.

Imagine mtu anaishi Canada lkn ana hizi mentality, anashangilia kuwa engaged? Sisemi asisherehee lkn anaonekana ni mtu fulani ambaye hayuko sawa kiasi fulani.
Aisee! Ni kweli kama ana mafaili mengi kichwani ila huenda ni mambo ya behind the keyboard where we dare to write anything and openly Ila kiuhalisia akawa yupo kawaida tu🤷‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…