mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
Congrats.Siku ya jana nmekua engaged. I'm so happy and so is my family. Nahisi kama sipo juu ya dunia nahisi nimeingia ndani ya dunia kwa furaha nliyo nayo. I can talk about it forever. Nataka nweke hta picha ya mkono lakn naogopa. Nina furaha sna leo.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu,Waebrania 13:4.Siku ya jana nmekua engaged. I'm so happy and so is my family. Nahisi kama sipo juu ya dunia nahisi nimeingia ndani ya dunia kwa furaha nliyo nayo. I can talk about it forever. Nataka nweke hta picha ya mkono lakn naogopa. Nina furaha sna leo.
Parefu lakn Mungu akipenda tutafika hakuna kitu kisichowezekana km kuna niahapo mpaka ndoa ni parefu sana
Sijakuelewa unamanisha nnHuwa chakula na mpishi wake wanaliwa vyema kabisa.
Acha ku judge watu kwa past zao wewe kla mtu ana past yke haijalishi nzuri au mbaya.Dada yangu wewe ni typical mentaly ill. Nyuzi zako ni ushahidi tosha. Lemme show you ili na watu wengine waelewe.
Vipi huyu mwalimu alikupata?
View attachment 1748864
Vipi bado uko CANADA ama ulisharudi Bongo?
View attachment 1748862
Vipi Edward bado uko naye ama bado kakublock?
View attachment 1748863
Vipi aloku-engage ana ndevu?View attachment 1748861
Vipi umeamua kumpiga chini mmoja ama ndo unaenda nao kwa pamoja?
View attachment 1748860
Vipi ulishaacha ubaguzi?
View attachment 1748868
Vipi hii addiction ilishaisha?
View attachment 1748867
Vipi utaweza kweli kutokuwa busy na internet?
View attachment 1748877
Vipi baba alishaacha kukubaka?
View attachment 1748874
Mume mtarajiwa ana hii taarifa?
View attachment 1748875
Vipi mumeo ni mtz ama mcanada?
View attachment 1748876
Ulisoma ama ndo bado unaishi kwa kutumia uzuri wako?
View attachment 1748880
Huyu ndo alokuchumbia?
View attachment 1748879
Mwisho kabisa nakushauri kamuone daktari, wewe una shida mahali.
View attachment 1748878
Nani anasema?Mtaachana tu
Alaf kuachana sio ktu cha ajabu au aibu. Ni moja ya mfumo wa maisha ya binadamuMtaachana tu
Sina x nmefuta wote nimeamua nitulieHalafu utakuta hii furaha kaenda kufurahia na X.
Wanawake banaa...
#YNWA
Najua. Lakn ni step kuelekea hko si ndio?Kuchumbiwa sio kuolewa
Sijamuacha tumeachanaHuyo mwingine umemucha au naye bado waendelea naye
Kwahiyo huyu alikuwa second choice? Ipo siku mtapasha kiporoSijamuacha tumeachana
Siku ukiachwa uje kwa furaha hivyo hivyoSiku ya jana nmekua engaged. I'm so happy and so is my family. Nahisi kama sipo juu ya dunia nahisi nimeingia ndani ya dunia kwa furaha nliyo nayo. I can talk about it forever. Nataka nweke hta picha ya mkono lakn naogopa. Nina furaha sna leo.
Hapo kosa liko wapi? Ungesema sio kujitia ujuaji tuSo is my family Ndio Nn?? Daaaah eti I could talk about it forever.... Uwage unaandika tu kingereza Jamani