my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
- Thread starter
-
- #121
Niliachana na mmoja nmebaki na yeye tuKwahy jamaa anaoa demu wa mtu maana ulituambia unao wawil na hawajuani
Kama ikiwa hvo ina maana haikuandikwa tufike mbali. Kla kitu kina sababuNi kweli but ndo itakavyokuwa
Angalia isije ikawa unajisemea mwenyweMimi
So thatSo what?
Mie sina mpenziAngalia isije ikawa unajisemea mwenywe
Wewe ni zaidi ya chakulaNipakuliwe kwani mm chakula?
[emoji23]Hongera, utapunguza kushinda xvideo na xxn sasa
Umeamua kumzika kabisaDada yangu wewe ni typical mentaly ill. Nyuzi zako ni ushahidi tosha. Lemme show you ili na watu wengine waelewe.
Vipi huyu mwalimu alikupata?
View attachment 1748864
Vipi bado uko CANADA ama ulisharudi Bongo?
View attachment 1748862
Vipi Edward bado uko naye ama bado kakublock?
View attachment 1748863
Vipi aloku-engage ana ndevu?View attachment 1748861
Vipi umeamua kumpiga chini mmoja ama ndo unaenda nao kwa pamoja?
View attachment 1748860
Vipi ulishaacha ubaguzi?
View attachment 1748868
Vipi hii addiction ilishaisha?
View attachment 1748867
Vipi utaweza kweli kutokuwa busy na internet?
View attachment 1748877
Vipi baba alishaacha kukubaka?
View attachment 1748874
Mume mtarajiwa ana hii taarifa?
View attachment 1748875
Vipi mumeo ni mtz ama mcanada?
View attachment 1748876
Ulisoma ama ndo bado unaishi kwa kutumia uzuri wako?
View attachment 1748880
Huyu ndo alokuchumbia?
View attachment 1748879
Mwisho kabisa nakushauri kamuone daktari, wewe una shida mahali.
View attachment 1748878
Nifate taratibu zipi za kimila na kidini ili niweze kukuchumbia wewe mwanamke?I dooooooo! na ntafurahije pia itakua zaidi mleta uzi[emoji3][emoji3]
Ni mahari tu darling na napokea mwenyewe😀🏃♀️Nifate taratibu zipi za kimila na kidini ili niweze kukuchumbia wewe mwanamke?
OkaySo that
Weka pichaSiku ya jana nmekua engaged. I'm so happy and so is my family. Nahisi kama sipo juu ya dunia nahisi nimeingia ndani ya dunia kwa furaha nliyo nayo. I can talk about it forever. Nataka nweke hta picha ya mkono lakn naogopa. Nina furaha sna leo.
Hapa nimeshangaa sana aisee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] alikuwa anakesha kuangalia porn. Ila leo anaulizwa kuhusu xvid na xxn anasema hazijui
مبروكSiku ya jana nimekua engaged. I'm so happy and so is my family. Nahisi kama sipo juu ya dunia nahisi nimeingia ndani ya dunia kwa furaha nliyo nayo. I can talk about it forever.
Nataka nweke hta picha ya mkono lakn naogopa. Nina furaha sana leo.
Mkuu kumbe ndio wewe mtoto wa kufikia wa KondeCongrats.
I am happy for you, dear OP.
Utanielewa tu taratibu.Sijakuelewa unamanisha nn