Hatimaye nimechumbiwa

Umeamua kumzika kabisa
 
Jifunze kuto kufurahi sana wakati mwingine.....

Wapo waliovalishwa Pete na still wanatembea nazo na zimeshakuwa hirizi maana hazina ndoa, wapo waliotolewa mahari na kila kitu ila siku ya ndoa muoaji hakuonekana

Wapo waliozalishwa na wanamapete ya uchumba miaka nenda rudi.....

Ushauri mdogo kwaakili zangu hizi za Guiness punguza munkari,punguza expectations, punguza mihemko na utafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…