chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
wadau nimehangaika muda mrefu kujiunga humu jf maana kila surname nnaloandika nna ambiwa lipo mpaka nilijiandika surname shoga nikaambiwa pia yupo du
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau nimehangaika muda mrefu kujiunga humu jf maana kila surname nnaloandika nna ambiwa lipo mpaka nilijiandika surname shoga nikaambiwa pia yupo du
Hii ni jukwaa linalohusika na masuala ya kazi na tenda!!! Unatuchanganya, mi nilikiri umefanikiwa kupata kazi au tenda!!!
Hii ni jukwaa linalohusika na masuala ya kazi na tenda!!! Unatuchanganya, mi nilikiri umefanikiwa kupata kazi au tenda!!!
dah kweli we mgeni humu jamvin sie huku tunatafutanga unga wa watoto.
kwaio ulikua unatafuta pa kujiunga penye mashoga au?? ebu toa upuuzi wako huku watu wa kazi tu, peleka upuuzi wako facebookwadau nimehangaika muda mrefu kujiunga humu jf maana kila surname nnaloandika nna ambiwa lipo mpaka nilijiandika surname shoga nikaambiwa pia yupo du
kwaio ulikua unatafuta pa kujiunga penye mashoga au?? ebu toa upuuzi wako huku watu wa kazi tu, peleka upuuzi wako facebook
I thought unatangaza ajira au umepata
Ni tofauti sana huku na Facebook. Think Great