Hatimaye nimefika views laki moja kwenye post zangu jamii forums

Hongera lipia Tsh 50,000/= upewe fomu maalum ya watu waliofikisha views 100k ili usajiliwe kwenye huduma ya kulipwa kutokana na viewers, na baada ya kulipia elfu 50 utatumiwa million 1
 
Hahahaha
Ukianza kulipwa kama mm sijui itakuwaje kama views laki Moja tu maneno yanakutoka
 
Hongera lipia Tsh 50,000/= upewe fomu maalum ya watu waliofikisha views 100k ili usajiliwe kwenye huduma ya kulipwa kutokana na viewers, na baada ya kulipia elfu 50 utatumiwa million 1
Michezo iyo
 
Mcheki moderator mmoja ukwambie hii ishu yako ili uanze kulipwa kama sisi wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…