Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Amani iwe juu yenu wakuu,
Hatimaye nimeanza kuwa mkongwe sasa kwa jukwaa la JF. Nimejiunga kitambo sana humu ndani wakongwe wenzangu wanajua. Japo madogo wa juzi hawawezi jua.
Nimejiunga kipindi kile kupata like ilikuwa kitu ngumu sana siyo kama saiz kuna uzi wa kupata malike. Ni jasho na damu sana aisee. Yote kwa yote najipongeza. Bado nakukumbuka dada yangu nalendwa
LONDON BOY
Hatimaye nimeanza kuwa mkongwe sasa kwa jukwaa la JF. Nimejiunga kitambo sana humu ndani wakongwe wenzangu wanajua. Japo madogo wa juzi hawawezi jua.
Nimejiunga kipindi kile kupata like ilikuwa kitu ngumu sana siyo kama saiz kuna uzi wa kupata malike. Ni jasho na damu sana aisee. Yote kwa yote najipongeza. Bado nakukumbuka dada yangu nalendwa
LONDON BOY