Ulikalele gete. Sasa likes zitakuletea chakula mezani mdogo wangu ? Likes zimewekwa kwa lengo la kisaikolojia zaidi. Yaani ukipata likes ujisikie vizuri ili uweze kupost zaidi ila wewe haufaidi chochote. Wanaofaidi ni kina Maxence Melo maana wanaingiza cash.
Yes!Nakwede