Hatimaye nimefikisha likes 19,999 na followers 11

Wabeja sana ilomboye
 
Makubwa haya, haya na sie wengine!??
 
Vipi hizo likes zinavunwa kama tuzo points? Au tunaishia kuziona tu?
Hivi tuzo point zinavunwaje mazee?. Maana ninazo mpaka elfu 21. Nizigeuzeje? Hapo napiga ngapi?
 
Hivi tuzo point zinavunwaje mazee?. Maana ninazo mpaka elfu 21. Nizigeuzeje? Hapo napiga ngapi?
Dah! Hizo unaweza kuzibadili kuwa mpesa, dakika au Internet bundles.
 
Dah! Hizo unaweza kuzibadili kuwa mpesa, dakika au Internet bundles.
I see tayari bwana nimezipiga mkuu. Nilikuwa na elfu 23.... nimepiga,nimepata Tsh. 16.... eti na wenyewe kwenye hiyo kuna makato eti ya tuzo point elfu 111.... . Hii mitandao ya simu inatuchezea itakavyo. Wanajifanya wanakupooza huku wanajifanya wamekupa kulia,halafu wanapita kushoto fasta wanakukwangua
 
Sawasawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…