yatamshndwa tu mkuuNilimwambia alale akagoma, Naona anataka kushuhudia baba zake huwa tunafanya nini usiku
Usijali, utaijua tu mbele ya safari.We jinsia gani maana nlikuwa natafta mchumba na wote washapata wenza mimi ndio zamu yangu mgen akitokea trip hii ilikuwa zamu langu View attachment 544818
ahaaaa!!Bia situmii, labda soda ya Mirinda nyeusi.
Yeah tupo salama kabisa...umeamkajeHabari zenu wana Jf, ni matumaini yangu mpo salama salimini
Kwani wewe unataka ushirikiano wa namna gani?Habari zenu wana JamiiForum,
Mimi ni mgeni katika hii media, ni matumaini yangu nitapata ushirikiano mzuri kwenye matumizi ya hii media kwa kunielekeza yote nisiyoyajua
Shukrani sana
Ajisikie yupo jammiforums home of great thinkers.Karibu sana Mkuu.
Jisikie upo nyumbani
Ahsante sanaTuma passport size 3, namba ya shemeji yetu, na barua ya mwenyekiti wako wa mtaa
*karibu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha yako tafadhali..halafu wewe ni KE au ME?
Duu, inaonyesha akaunti ndio mgeni. Ila wewe ni mwenyeji JF.Tutajuana mbele ya safari
Kutokana na majibu yako Unaonekana mjanja wewe.Tutajuana mbele ya safari
Mambo?karibu sana