Hatimaye nimejiunga JF, naamini nitaona yale niliyo yatarajia

Hatimaye nimejiunga JF, naamini nitaona yale niliyo yatarajia

Habari za wakati huu wadau,

Kiredio amekuwa mfuatiliaji wa forum hii kaa kipindi kirefu na sasa nimeamua kujiunga rasmi.

Naamini JF ina watu smart na wenye upeo mkubwa wa kuchangia na hata kushauri na kutoa maoni tofauti na mitandao mingine.

Nafurahi sana kuungana nanyi.
Karibu kwenye Bar wahudumu ni moderator
 
Back
Top Bottom