mimi wewe ndugu yangu?yaani mi mwenyewe nimebaki mdomo wazi maanake hata mi hayo maujuzi sinaga kabisa hata sijui unaanzaje???????????haaaaaaaaaaahaaaaaaahaaaaaa jf burudani tupu.teh teh teh!!
Umenifanya niangue kicheko kikubwa sana.
JF kuna mambo sana.
Nafikiri atakuwa amepata oriention kwanza kabla ya kujiunga JF, maana huu uzoefu alioanza nao hata mimi sina.
Jamani!
nimefarijika sana kwa ukaribisho wenu jamani! nawashukuru sana kwa moyo mmoja!
Ahsanteni sana!
Karibu sana JF. Hapa sote ni ndugu au marafiki.
Nahisi utakuwa mrembo wa Ukweli, please tupia na picha yako kidogo tufurahi pamoja!!!
heeeeee haya bhana sie tupo! rasimu ya new katiba umeiona?
Sister T mama em nipe siri ya urembo mbona waonekana mzoefu sana wa kucheza na jukwaa letu pendwa???????????we mgeni kweli weye???????????
ya CC au ?
kwan huku ni CC mimisa! nazngumzia katiba ya shirikisho la tanzania! (najua mambo haya huependi lakini katiba mpya si ndio itakufanya uipende sasa mambo ya politics)
Na mimi nilikuona tu wakati unavuta kibodi yako ili umuandikie...nikakulia denge haraka mno ili walau upate kutoa kicheko!!!Haaaaaaaaaahaaaaaaaaaahaaaaaaaa watu8 umenichekesha kwelikweli,afu umeniwahije maanake na mi iilibakia kidogo tu na mi nimuulize hilo swali
hivi swahiba unaweza kuamini kuwa mi na usinia member wangu humu jf mpaka leo hii siwezi hayo maujanja ya kuwakusanya watu na kuwajibu?????????????
swahiba em nipe maujuzi mwenziyo huwa wanfanyaje?
shiiiiiiiiii!!!!!!! Blue G taratibu basi! LumumbaDAR unaona Blue G anavyopunguza kasi yangu! eti mm nisimkaribishe mgeni! akati mm ndio nipo reception! kwanza Blue G wewe upo jikoni unampikia mgeni, umesikiaje haya maongezi ya picha! ngoja nije jikoni nidokoe chakula cha mgeni!
Sister T weka picha mbayambaya ya uongo kuwazuga akina LumumbaDAR! halafu mm utanitumia ya ukweli kwenye email!
duuh..ata sijaiangalia..nitaichek badae bade..tatzo politcs inaipaga stress zaidi na mapigo ya moyo kunienda kasi..
Blue G ndo kaanza hz vurugu zote! hii inamhusu yeye! asikane kabisa!he he he..mtamtisha mgeni
Haaaaaaaahaaaaaaahaaaaaaaa mbona unalo wewe na hivi email yako naijua akikutumia picha ya ukweli tu mi huyo naikwiba au naibadilisha,labda uibadilishe email yako heeeeeheeeeeheeeeeeeeeheeeeeee nimekuwezaje???????.
Nielekezee pm ndo itakuwa bomba ili hata kama sielewi ukinipa viboko viwili vitatu iwage siri yangu na sio hapa public hadi akina NIGGA wanione na wanichekee aku mie sitaki,twenzetu kuleeeeeeeeee pm.Na mimi nilikuona tu wakati unavuta kibodi yako ili umuandikie...nikakulia denge haraka mno ili walau upate kutoa kicheko!!!
Mmh naamini ila sio kitu kigumu sanaaaa...
Unataka nikuelekeze hapa au PM?
haya nakusamehe ila sharti ni moja tu naomba zawadi nikusamehe,kama hutaki naanza tena,haya unanipa hunipi????????????acha hizo basi! Ile haina mita ujue! Usinifanyie fujo bhana, mbona mm na wewe ni washkaji sana!
kweli ccm hawana huruma hata kwa watoto wazuri bado wanafnya ushetani hadi mtoto mzuri moyo unaenda kwa kasi kisa siasa zao chafu! basi usijali mm nitakuwa nakuambia yale mambo mazurimazuri ya kisiasa hadi uanza kupenda taratibu!
Kwa mfano!
kwenye rasimu ya katiba mpya wananchi wamepewa mamlaka ya kumwajibisha mbunge wao anytime akionekana ni mzinguaji, hii si unaipenda eeh!!